Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwako mh raisi kikwete
kwanza naomba kuanza na kidumu chama cha mapinduziiiiiiiiiiiii na minii umeitikia kwa kunyoosha mkono nisiouwona aila mungu ameuona
mh rais kuna sekta nyingi mmekuwa nazo makini sana wakati wa uongozi wako lakini hili la elimu
kama umeamua kutunjia baharini vile kana kwamba kama huna hela za st..naninooo kafie mbali
mh rais nimekuja kwa lengo moja la kukupongeza kwa kupokea ushauri wa mh mstaafu waziri mkuu edward lowasa...lowasa amekuwa akingaka sana swala la kazi kwa vijana naamini uamuzi wake wa kwenda hadharani na kuomba serikali ijimwage kuunda tume kwa ajili ya matokeo haya machafu
na leo nimefurahishwa kusikia waziri mkuu pinda akiunda tume kuchunguza kiini cha kufeli wanafunzi mwaka huu
mh rais binafsi tunakuitaji ila kwa hili la elimu nilitamani lowassa awe rais hata kabla ya 2015 ila kwa kuwa sheria zinatutaka kusubiri 2015 basi hakuna njia kusubiri
kwa kweli mzee wetu kwa mnaokumbuka zile shule za kata ndie aliekuwa kwenye wimbi la kuzijenga leo hii vile viwanja vya kishenzi vya mpira vilivyokuwa vikiuzwa na madiwani na mameya akama londa aliamua kujenga shule humo humo ndan na leo nenda sinza,tandale ,mbagala kila sehemu kajaza shule
kwa kuwa tunaamini mungu ndie aliekuongoza hili mh lowassa basi twaamini atakuongoza kwenye kutuletea maisha bora kwa kila mtanzania hapo 2016 na kuachana na porojo za chama kila siku
mungu akubariki rais wetu kikwete akubairiki na kukuongoza hata kutimiza mawazo yanayotoka nje ya uongozi wako
tunakutakia mkutano mwema huko addis naamini utakuja na kuelekea zanziba leo wamechinja tena sheikh naamini wamebakiza kiongozi wa wapagani tu kutimiza azma yao
kwanza naomba kuanza na kidumu chama cha mapinduziiiiiiiiiiiii na minii umeitikia kwa kunyoosha mkono nisiouwona aila mungu ameuona
mh rais kuna sekta nyingi mmekuwa nazo makini sana wakati wa uongozi wako lakini hili la elimu
kama umeamua kutunjia baharini vile kana kwamba kama huna hela za st..naninooo kafie mbali
mh rais nimekuja kwa lengo moja la kukupongeza kwa kupokea ushauri wa mh mstaafu waziri mkuu edward lowasa...lowasa amekuwa akingaka sana swala la kazi kwa vijana naamini uamuzi wake wa kwenda hadharani na kuomba serikali ijimwage kuunda tume kwa ajili ya matokeo haya machafu
na leo nimefurahishwa kusikia waziri mkuu pinda akiunda tume kuchunguza kiini cha kufeli wanafunzi mwaka huu
mh rais binafsi tunakuitaji ila kwa hili la elimu nilitamani lowassa awe rais hata kabla ya 2015 ila kwa kuwa sheria zinatutaka kusubiri 2015 basi hakuna njia kusubiri
kwa kweli mzee wetu kwa mnaokumbuka zile shule za kata ndie aliekuwa kwenye wimbi la kuzijenga leo hii vile viwanja vya kishenzi vya mpira vilivyokuwa vikiuzwa na madiwani na mameya akama londa aliamua kujenga shule humo humo ndan na leo nenda sinza,tandale ,mbagala kila sehemu kajaza shule
kwa kuwa tunaamini mungu ndie aliekuongoza hili mh lowassa basi twaamini atakuongoza kwenye kutuletea maisha bora kwa kila mtanzania hapo 2016 na kuachana na porojo za chama kila siku
mungu akubariki rais wetu kikwete akubairiki na kukuongoza hata kutimiza mawazo yanayotoka nje ya uongozi wako
tunakutakia mkutano mwema huko addis naamini utakuja na kuelekea zanziba leo wamechinja tena sheikh naamini wamebakiza kiongozi wa wapagani tu kutimiza azma yao