Kwa hili la katiba chonde chonde CCM hebu tumieni busara

Kwa hili la katiba chonde chonde CCM hebu tumieni busara

somijo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
110
Reaction score
47
Siku zote dalili ya mvua ni mawingu, dalili hizi za kisiasa hapa nchini zinaonyesha vurugu, fujo, na utowevu wa aman katika siku za usoni. Tunajua CCM ndo wenye nchi kwa sasa, kwa maana mnashikilia dola mnatakiwa kujua kuwa Tanzania ya sasa si ya mwaka 1961, au 1977 au 1992 au 2005. Tanzania imebadilika jaman, CCM ongozeni kwa weledi wa wakati.

Kwa nini mnalazimisha vitu ambavyo watanzania hawataki!!!!!! Hiki kikombe cha fujo kikianza hakitachagua, huyu Ndughai au mwanaye, sijui huyu Mbowe au huyu ramadhani wa pale mwanakwerekwe, batamuzi wa ngara, au mwafilombe wa kajunjumele au huyu sijui huyu Hamy-D.

Sisi bado tunaihitaji aman ya nchi hii, hii tabia ya kutumia mabavu na kutumia vyombo vya dola kupitishwa matakwa yenu ya ubinafsi yenye mlengwa wa ufisadi kwenye katiba acheni. Hiyo katiba mnayolazimisha kuitengeneza haitokubalika na watanzania wengi na hebu fikirien mwisho wake utakuwa ni nini!

Kwa hili CCM mnaratibu kutowesha aman ya nchi; Hebu chonde chonde tumieni busara kwa hili.
""" Huo ni uono wangu wa mbali"""
 
Talking to muttonheads! Stiff-necked! Nincompoop
 
Nazidi kujiridhisha kuwa ndani ya ccm hakuna mwenye akili timamu.
Sasa kuna kamama kanatokwa povu hadi nimechukia tv yangu. Mara namshukuru rais, mara mkuundu-gai ili mradi eti na kenyewe kameonekana kuchangia.
 
Amani haiombwi mkuu wanatakiwa kujua kuwa wakianza hii biashara tutaamka na kushughulika nao wao wachache sio sisi kwa sisi huu unatakiwa kuwa msimamo wa wananchi bila kuchagua chama wala itikadi wakijua hili watakiwa na busara.

Ila kwa kuwa wanajua kuna wafuasi ambao wao hawafikirii bora tu kasema mwenyekiti au katibu basi kurupuuu mpaka pwani!!!!!!Basi wanaamua tu kufanya yanayoridhisha mioyo yao mule ndani!!!

Tushikamane hawa watafanya kwa matakwa yetu ila mkikubali kugawanywa kwa rangi na mavazi basii na tutulie kusubiri shimo likamilike ili tutumbukizwe!!!!!

Amani na haki haviombwi
 
huyu NYAKAGENI kweli atakuwa anakanyagwa tu si bure
 
Siku zote dalili ya mvua ni mawingu, dalili hizi za kisiasa hapa nchini zinaonyesha vurugu, fujo, na utowevu wa aman katika siku za usoni. Tunajua CCM ndo wenye nchi kwa sasa, kwa maana mnashikilia dola mnatakiwa kujua kuwa Tanzania ya sasa si ya mwaka 1961, au 1977 au 1992 au 2005. Tanzania imebadilika jaman, CCM ongozeni kwa weledi wa wakati.

Kwa nini mnalazimisha vitu ambavyo watanzania hawataki!!!!!! Hiki kikombe cha fujo kikianza hakitachagua, huyu Ndughai au mwanaye, sijui huyu Mbowe au huyu ramadhani wa pale mwanakwerekwe, batamuzi wa ngara, au mwafilombe wa kajunjumele au huyu sijui huyu Hamy-D.

Sisi bado tunaihitaji aman ya nchi hii, hii tabia ya kutumia mabavu na kutumia vyombo vya dola kupitishwa matakwa yenu ya ubinafsi yenye mlengwa wa ufisadi kwenye katiba acheni. Hiyo katiba mnayolazimisha kuitengeneza haitokubalika na watanzania wengi na hebu fikirien mwisho wake utakuwa ni nini!

Kwa hili CCM mnaratibu kutowesha aman ya nchi; Hebu chonde chonde tumieni busara kwa hili.
""" Huo ni uono wangu wa mbali"""
CCM wanachojali ni kupata katiba inayowalinda wabaki madarakani na kulinda ufisadi walioufanya so niuhuni tu na ujanja ujanja wanaoufanya wanamna bunge la katiba liwe ili mambo yao yapite.
 
Na watu wasitegemee eti matokeo ya hapana kwenye kuipigia kura rasimu ya katiba baada ya kutoka bungeni(referendam)
 
Na watu wasitegemee eti matokeo ya hapana kwenye kuipigia kura rasimu ya katiba baada ya kutoka bungeni(referendam)maana maccm yatachakachua kama yalivyofanya kwenye uchaguzi mkuu,wabunge wengi humo wa ccm wakuchaguliwa na wananchi ndio maana hawaoni sababu ya kuwatetea wananchi.
 
Siku zote dalili ya mvua ni
mawingu, dalili hizi za kisiasa hapa nchini zinaonyesha vurugu, fujo, na
utowevu wa aman katika siku za usoni. Tunajua CCM ndo wenye nchi kwa
sasa, kwa maana mnashikilia dola mnatakiwa kujua kuwa Tanzania ya sasa
si ya mwaka 1961, au 1977 au 1992 au 2005. Tanzania imebadilika jaman,
CCM ongozeni kwa weledi wa wakati.

Kwa nini mnalazimisha vitu ambavyo watanzania hawataki!!!!!! Hiki
kikombe cha fujo kikianza hakitachagua, huyu Ndughai au mwanaye, sijui
huyu Mbowe au huyu ramadhani wa pale mwanakwerekwe, batamuzi wa ngara,
au mwafilombe wa kajunjumele au huyu sijui huyu Hamy-D.

Sisi bado tunaihitaji aman ya nchi hii, hii tabia ya kutumia mabavu na
kutumia vyombo vya dola kupitishwa matakwa yenu ya ubinafsi yenye
mlengwa wa ufisadi kwenye katiba acheni. Hiyo katiba mnayolazimisha
kuitengeneza haitokubalika na watanzania wengi na hebu fikirien mwisho
wake utakuwa ni nini!

Kwa hili CCM mnaratibu kutowesha aman ya nchi; Hebu chonde chonde
tumieni busara kwa hili.
""" Huo ni uono wangu wa mbali"""

wakati mwingine mkuu huwa najiuliza hivi bunge letu linataka kuunda katiba ya chama tawala au ya nchi,kwa kuwa kila mbunge yoyote wa chama cha upinzani anapotoa hoja hata kama ina tija itapingwa kwa kutumia kiti cha spika na uwingi wa wabunge wa chama tawala,hii ni aibu sana kwa nchi yangu
 
Watanzania tunaona pumba na mchele .....2015 si mbali......watetetezi wetu tunawajua na watetetezi wa masafidi tunawajua...hakika come 2015. Tanzania mpya tuitakayo tutaipata.
 
Haya ndo mashaka yangu makubwa kuhusu katiba mpya, hivi ni kweli kabisa tuamini kuwa wakongwe hawa watatengeneza KATIBA inayoweza kuwanyonga wenyewe, tukichukulia kuwa tayari wanaiona hatari ya kuchukiwa. KATIBA mpya chini ya wajamaa hawa, tunajidanganya. Kamwe Kiriba cha zamani hakiwezi kuhifadhi divai mpya,kwa uoni wangu wa makengeza!!.
 
Back
Top Bottom