njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kigwangwala also known as SAID BAGAILE ni mgodi unaotembea baada ya kuitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa na ustadi akiwa naibu waziri kisha waziri sasa ni wakati wa simba sc kumtumia kwa uzuri.
Kila siku Bagaile anatoa malalamiko jamhuri ya twitter na ma parody yamemgeuza mdoli punching bag kasoro wana yanga wanaomshangilia kwa madini anayotema na sope binobino linalomsapoti kwa ku screenshot madini yake.
Simba mpeni nafasi Bagaile aipaishe team kama alivyofanya wizara ya maliasili jama ni kichwa, kama huamini ona jinsi alivyoisaidia kampuni bora ya Q net katika kutatua shida za watanzania. Q net oyee bagaile oyee GOOD MORNING.
Kila siku Bagaile anatoa malalamiko jamhuri ya twitter na ma parody yamemgeuza mdoli punching bag kasoro wana yanga wanaomshangilia kwa madini anayotema na sope binobino linalomsapoti kwa ku screenshot madini yake.
Simba mpeni nafasi Bagaile aipaishe team kama alivyofanya wizara ya maliasili jama ni kichwa, kama huamini ona jinsi alivyoisaidia kampuni bora ya Q net katika kutatua shida za watanzania. Q net oyee bagaile oyee GOOD MORNING.