unajua beef ilipoibuka watu kadhaa hadi wakubwa walimuomba atulize wenge mtandaoni team itulie sasa naona ka miss ile hali ya kubembelezwa mbaya zaidi kachuniwa na twitter kageuka kituko aisee maskini bagaile,dah sope albino eti ndo mshkaji wake sasa hivi ana screenshot posts zake wanasapotiana wenyewe