Kwa hili la kuwageuza watesi wako CHADEMA kuwa walinzi wako, nakupongeza sana Edward Lowasa

Kwa hili la kuwageuza watesi wako CHADEMA kuwa walinzi wako, nakupongeza sana Edward Lowasa

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Hapa duniani kuna mambo mengi sana

Yanayofurahisha na kumtia hamasa mwandamu .
Kwa mujibu wa wachunguzi wa mambo hasa wanasaikolojia wanaamini kilele cha furaha kwa mwanadamu ni pale unapomgeuza adui yako kuwa mtumishi wako mtiifu.

Kwa muda mrefu chadema walimwandama sana Edward Lowasa kwa kumuita ni fisadi papa, walifikia hadi hatua ya kumuweka kwenye list of shame.
Kwa njia ya kubadilisha gia angani Edward Lowasa alikaribishwa chadema na kupewa mamlaka yote ndani ya chama.

Kuanzia kipindi hicho CHADEMA na bavicha kwa ujumla ndio wamekuwa walinzi na wasafishaji wakubwa wa Lowasa.!

Ukitaka kukutana na hasira za bavicha basi mguse Edward Lowasa!!

Hongera Lowasa kwa kuwabadilisha watesi wako CHEDEMA hadi kuwa walinzi wako kwani ni watu wachache sana wanaoshuhudia adui yao akiaibika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata magu alisema mafisadi yamekimbilia chadema na akafungua mahakama ya mafisadi mwisho wa siku chadema wanakamatwa wachochezi ccm wanakamatwa mafisadi sasa ckumbuki cjui vzr alikua anamaanisha nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui unalolisema kama Mkemia wenu ambaye hajui majibu na mwenye mkojo alioupima
 
1. Kwa CDM kumwita Lowasa Fisadi, ililenga kuwawajibisha Serikali ya CCM. Ambao walikua na KIGUGUMIZI CHA NI HATUA GANI WACHUKUE.?!!

2. Kwa CHADEMA Kumpokea Lowasa waliomwita Fisadi ililenga kuwagombanisha na kuwagawa WanaCCM ili kuweza kuchukua Dola kiulaini( Calculated Risk.)

kuvuna wanachama zaidi kutokea CCM, ambao waliapa kwenda popote na Lowasa(ulipo tupo) na CHAMA NI WATU SIO MAJENGO NA BENDERA.

3. Na Lowasa kujiunga CDM, alitathmini uwezo wa Chama cha upinzani chenye Nguvu ya ushawishi chenye uwezekano WA kuchukua Dola.

4. Hata hivyo kwa CDM kumsafisha ni kwasababu walishajihakikishia hakuna uwezekano wa Lowasa kushtakiwa na serikali ya CCM.

5. Kitendo cha Serikali Kuunda Mahakama ya mafisadi, ni UJUMBE tosha kua Serikali ilikua inaendesha nchi bila kua na kanuni na sheria. Yaani ni sawa na kuwaambia wananchi kua zamani hakukua na muongozo WA makosa ya wizi, uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.

6. Lakini ukiwauliza Serikali ..why now? itajitetea kua ilikua sehemu ya ilani yao ya uchaguzi wa mwaka 2015./Na kwakua wananchi wengi ni mazwazwa wanaamini hii kauli.

Jambo ambalo silielewi ni wanatumia sheria gani kuwashitaki ESCROW?

Manake haya ni sehemu tu ya makosa yaliofanyika kabla sheria ya mafisadi haijatengenezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwa CDM kumwita Lowasa Fisadi, ililenga kuwawajibisha Serikali ya CCM. Ambao walikua na KIGUGUMIZI CHA NI HATUA GANI WACHUKUE.?!!

2. Kwa CHADEMA Kumpokea Lowasa waliomwita Fisadi ililenga kuwagombanisha na kuwagawa WanaCCM ili kuweza kuchukua Dola kiulaini( Calculated Risk.)

kuvuna wanachama zaidi kutokea CCM, ambao waliapa kwenda popote na Lowasa(ulipo tupo) na CHAMA NI WATU SIO MAJENGO NA BENDERA.

3. Na Lowasa kujiunga CDM, alitathmini uwezo wa Chama cha upinzani chenye Nguvu ya ushawishi chenye uwezekano WA kuchukua Dola.

4. Hata hivyo kwa CDM kumsafisha ni kwasababu walishajihakikishia hakuna uwezekano wa Lowasa kushtakiwa na serikali ya CCM.

5. Kitendo cha Serikali Kuunda Mahakama ya mafisadi, ni UJUMBE tosha kua Serikali ilikua inaendesha nchi bila kua na kanuni na sheria. Yaani ni sawa na kuwaambia wananchi kua zamani hakukua na muongozo WA makosa ya wizi, uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.

6. Lakini ukiwauliza Serikali ..why now? itajitetea kua ilikua sehemu ya ilani yao ya uchaguzi wa mwaka 2015./Na kwakua wananchi wengi ni mazwazwa wanaamini hii kauli.

Jambo ambalo silielewi ni wanatumia sheria gani kuwashitaki ESCROW?

Manake haya ni sehemu tu ya makosa yaliofanyika kabla sheria ya mafisadi haijatengenezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako kushika dola ni jambo la maana sana ,hata kama mgombea ni fisadi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwako kushika dola ni jambo la maana sana ,hata kama mgombea ni fisadi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maoni yangu, Hatukua na mgombea Uraisi asie na Tuhuma za UFisadi mwaka 2015. Isipokua mama maghwira tu.

Usichague Raisi kwa kutizama kigezo kimoja peke yake...

Hata Dokta Slaa alisema. Tunapaswa ku-balance penye unafuu.
Ambapo yeye Dr. Slaa aliona Lowasa hafai.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom