Kwa hili la Morrison, Simba mmewaumiza TFF makusudi

Simba bado ina waswahili wengi, hakuna shule pale. Umechukua mataji matatu halafu bado unakimbizana na mambo ya kitoto.
 
Sidhani kama simba wamefanyi kijinga hivyo, wamefanya analysis na wanaujua ukweli. Simba na yanga ni watoto wa mjini wanajua mbichi na zilizoiva.
Utoto wa mjini ni UTOTO. Sikutegemea Simba iliyokuwa na mafanikio msimu hii ikajiingiza kwenye mtafaruku wa kipumbavu kama huu.
 
Kwa taarifa tu ni kuwa Simba wamesha ziondoa zile picha kwenye page yao, tangu usiku kwenye Instagram.

Ila watu wamewastukia na wana zirudisha kwenye individual page ili ushahidi uendelee kuwepo na mchezo wote wameucheza kina Hanspope na Magori
Unaongea kinazi sana. Hao akina Hanspope ulikuwa nao?
 
Aisee yule Mghana Morrisoni alishachomoa betry sasa kama ninyi bado mnahangaika nae mnapoteza muda! Alishajua ni wapi atawashika pabaya! Simba sio club ndogo ya kufanya mambo kiwepesiwepesi as you think, mpaka hapo wameshajiridhisha kila kitu na Morrison hawezirudi Yanga hata kama watasema wamsajili upya! So tulieni dawa iwangie kama jinsi Simba tulivyotulia kipindi kile kwa Mbuyu Twite!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…