Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Salaam wanaJF!
Kwa wale waliosoma vyuo vikuu hapa Tanzania haswa wakati utaratibu wa mikopo kupitia bodi ya mikopo, wataelewa hili jambo. Wakati wa kuingia mkataba na bodi, mkataba ulisema kwamba utaratibu wa kurudisha mkopo utachukua kipindi cha miaka 10 tangu uanzwe kukatwa. Sasa leo katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia waziri wa elimu akisema bodi imebadilisha utaratibu (ingawa taarifa yenyewe ilikua fupi na isiyo na mwanzo na mwisho) kwamba bodi sasa itakua ikikata asilimia 8 ya mshahara wa mdeni!
Sasa nimejiuliza, hivi bodi imetumia utaratibu upi wa kisheria kubadilisha utaratibu bila kumhusisha mteja? (alieingia nae mkataba wa kupata mkopo)
Wanasheria mnaweza kunisaidia katika hili tafadhali.
Asante.
Kwa wale waliosoma vyuo vikuu hapa Tanzania haswa wakati utaratibu wa mikopo kupitia bodi ya mikopo, wataelewa hili jambo. Wakati wa kuingia mkataba na bodi, mkataba ulisema kwamba utaratibu wa kurudisha mkopo utachukua kipindi cha miaka 10 tangu uanzwe kukatwa. Sasa leo katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia waziri wa elimu akisema bodi imebadilisha utaratibu (ingawa taarifa yenyewe ilikua fupi na isiyo na mwanzo na mwisho) kwamba bodi sasa itakua ikikata asilimia 8 ya mshahara wa mdeni!
Sasa nimejiuliza, hivi bodi imetumia utaratibu upi wa kisheria kubadilisha utaratibu bila kumhusisha mteja? (alieingia nae mkataba wa kupata mkopo)
Wanasheria mnaweza kunisaidia katika hili tafadhali.
Asante.