Katika kikao cha kamati ya utendaji ya TFF kilichofanyika hii leo Zanzibar, pamoja na maamuzi mengine, kamati hiyo imeweka vigezo kwa wachezaji saba(7) wa kigeni wanaopaswa kusajiliwa na klabu za ligi kuu ya Tanzania, vigezo hivyo ni:
1. Lazima mchezaji huyo awe anacheza timu ya Taifa ya nchi hiyo (senior team au U17 au U23)
2. Awe anacheza klabu ya ligi kuu anakotokea.
My take: hili litasaidia kukomesha usajili wa wachezaji wanaokuja kujifunzia soka kwenye hivyo vilabu