CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Kwa bahati mbaya Sana Mimi ninayeandika ninapenda Sana nyimbo! (Muziki) na mbaya zaidi naipenda Sana Simba!
Mimi Ni miongoni mwa tuliosubiria kwa hamu ujio rasmi wa wimbo huu!
Mara nyingi nimesikiliza Sana wimbo wa Real Madrid, Dortmund na baadhi ...
#Huu wimbo kwakweli una mapungufu mengi!
Ni wazi kuwa viongozi wangu mmekurupuka! Hakuna kitu kinadumu muda mrefu Kama wimbo! Sisi tunakufa lakini nyimbo hazifi!
Tena sembuse wimbo wa Mabingwa wa nchi this is Next level??
Waige wafe?
Haya..
1. Wimbo umekaa kihuni!
Hivi wimbo Kama huu Mimi na mke wangu tukae tuimbe?? Achilia mbali waziri, Raisi, au hata Mchungaji au shehe? Nani kasema Simba ni ya wahuni?
2. Wimbo haujulikani kinaimbwa Nini, Ni dua, Ni sala au maelezo ya timu au Ni hamasa!! Nani kaandika lyrics??
Huu Ni ukurupukaji wa next level..
3. Mchanganyo wa sauti na vyombo
Mixing na mastering very poor sauti ya tunda Kuna wakati haijulikani anaimba au anaongea Nini!
4. Spidi (tempo) kwanza sijawahi kuona timu yenye wimbo Wenye spidi Kama hivi....hii ni Anthem... Ni Kama mfano wa nyimbo za Taifa vile... Hii singeli iwekwe Kwenye vigodoro hukoo...
Sasa hii Nani ataimba?? Mashabiki gani ataimba kwa furaha huku ameweka mkono kifuani?? Huu Ni ujuha...
5. Chorus yake nayo haijulikani na kwa kuwasaidia nyimbo hizi Korasi yake inatakiwa kuwa yenye mvuto Sana! Na ndio inatakiwa kunogesha...
Nina mengi Ila hasira zimenijaa napenda Sana nyimbo Ila sio huu mchiriku...
Ni Bora tungechukua hata Ile ya Madrid tukaichakachua kidogo...
Tumeanza vizuri mnataka kuharibu Sasa....
Tusisifiwe mbio tukapitiliza kwetu....
allanclement6@gmail.com
Mimi Ni miongoni mwa tuliosubiria kwa hamu ujio rasmi wa wimbo huu!
Mara nyingi nimesikiliza Sana wimbo wa Real Madrid, Dortmund na baadhi ...
#Huu wimbo kwakweli una mapungufu mengi!
Ni wazi kuwa viongozi wangu mmekurupuka! Hakuna kitu kinadumu muda mrefu Kama wimbo! Sisi tunakufa lakini nyimbo hazifi!
Tena sembuse wimbo wa Mabingwa wa nchi this is Next level??
Waige wafe?
Haya..
1. Wimbo umekaa kihuni!
Hivi wimbo Kama huu Mimi na mke wangu tukae tuimbe?? Achilia mbali waziri, Raisi, au hata Mchungaji au shehe? Nani kasema Simba ni ya wahuni?
2. Wimbo haujulikani kinaimbwa Nini, Ni dua, Ni sala au maelezo ya timu au Ni hamasa!! Nani kaandika lyrics??
Huu Ni ukurupukaji wa next level..
3. Mchanganyo wa sauti na vyombo
Mixing na mastering very poor sauti ya tunda Kuna wakati haijulikani anaimba au anaongea Nini!
4. Spidi (tempo) kwanza sijawahi kuona timu yenye wimbo Wenye spidi Kama hivi....hii ni Anthem... Ni Kama mfano wa nyimbo za Taifa vile... Hii singeli iwekwe Kwenye vigodoro hukoo...
Sasa hii Nani ataimba?? Mashabiki gani ataimba kwa furaha huku ameweka mkono kifuani?? Huu Ni ujuha...
5. Chorus yake nayo haijulikani na kwa kuwasaidia nyimbo hizi Korasi yake inatakiwa kuwa yenye mvuto Sana! Na ndio inatakiwa kunogesha...
Nina mengi Ila hasira zimenijaa napenda Sana nyimbo Ila sio huu mchiriku...
Ni Bora tungechukua hata Ile ya Madrid tukaichakachua kidogo...
Tumeanza vizuri mnataka kuharibu Sasa....
Tusisifiwe mbio tukapitiliza kwetu....
allanclement6@gmail.com