marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Yanga wamepigwa rungu huko CAF Kwa kuendekeza ukanjanja wao waliozoea kuufanga kwenye ligi kuu Tanzania Bara na yakawakauta yalio wakuta .
Hivi sasa wanahaha. Na vikoba kupata hiyo pesa waliopigwa faini ..
Siwezi kuwalaumu Yanga wala TFF kwasababu wahenga walisha sema Jasiri hawezi kuacha Asili yake.
Ukanjanja kwa yanga ni asii yao na ni jadi yao hawawezi kuacha hata wapelekwe UEFA ACHAMPIONS LEAGUE wata taka kuroga na maukanjanja yao mengine mara wapige watu mara waoneshane madole ya kati mara wagome kuingia vyumbani ..yani ni nyani nyani tu ...
Hapa mimi naelekeza lawama zangu kwa clabu ya Simba kwa kufanya vizuri huko clabu bingwa kitu kilicho pelekea mpaka mazwazwa na wao kwenda huko kulitia aibu Taifa ..
Kwanza wamekandwa pili wamefanya mambo ya fedhea ...
soka letu halija fika kupeleka clabu 2 clabu bingwa huko, tengeenda pole pole haya yote yasinge tokea
Kama yanga asinge enda huko kwa mbeleko ya simba ni wazi kua yasinge wakuta haya..
Simba waache vihere here ova.!
Hivi sasa wanahaha. Na vikoba kupata hiyo pesa waliopigwa faini ..
Siwezi kuwalaumu Yanga wala TFF kwasababu wahenga walisha sema Jasiri hawezi kuacha Asili yake.
Ukanjanja kwa yanga ni asii yao na ni jadi yao hawawezi kuacha hata wapelekwe UEFA ACHAMPIONS LEAGUE wata taka kuroga na maukanjanja yao mengine mara wapige watu mara waoneshane madole ya kati mara wagome kuingia vyumbani ..yani ni nyani nyani tu ...
Hapa mimi naelekeza lawama zangu kwa clabu ya Simba kwa kufanya vizuri huko clabu bingwa kitu kilicho pelekea mpaka mazwazwa na wao kwenda huko kulitia aibu Taifa ..
Kwanza wamekandwa pili wamefanya mambo ya fedhea ...
soka letu halija fika kupeleka clabu 2 clabu bingwa huko, tengeenda pole pole haya yote yasinge tokea
Kama yanga asinge enda huko kwa mbeleko ya simba ni wazi kua yasinge wakuta haya..
Simba waache vihere here ova.!