litapita na shida watasahau na ndio litakuwa limekwisha mpk litokee tena!.. ujinga mwengine ni watanzania wengi hatushurutishi serikali yetu kufanya mamba kisasa tumekalia kusema Mungu saidia!.. ukweli mchungu ni kwamba hakuna Mungu atakusaidia ukiboronga umeboronga tu!.. hii issue inatakiwa itafune watu wengi sema maneno yatakayokuja ni "kapanga hakuna wa kupangua!"
tunasahau dunia ya sasa ni teknolojia na kuna vitu ukiwanavyo lazima nawe ubadirike kutokana na wewe kuwa na hivyo vitu!, mipango miji wajitafakari pia serikali isajili wajenzi wa majengo kama haya hakuna mtu kujenga ghorofa bila kuwa na injinia aliehakikiwa na serikali, vilevile serikali iwe inafanya ukaguzi kutaepusha madudu mengi mno! watu wamekaa ofisini wanakuza vitambi tu!.
pole kwa waathirika wote.