kuna vitu wasanii wanatufanya wajinga hata kirusi cha kuharibu data hatujui leo tukashindane na google kwenye youtube kudukua aka hack kweli [emoji23][emoji23]
hii michezo uwa inatokea mtu kuongeza view you tube au kuongeza follows Instagram ,kwahyo kwa Ali kiba yawezekana imetokea hvyo japo anawaweza kulaumu upande was pili wa mondi kuwa kafanyiwa ujuma.