Kwa hili naona kama ni chuki

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
kuna vitu wasanii wanatufanya wajinga hata kirusi cha kuharibu data hatujui leo tukashindane na google kwenye youtube kudukua aka hack kweli [emoji23][emoji23]
 
hii michezo uwa inatokea mtu kuongeza view you tube au kuongeza follows Instagram ,kwahyo kwa Ali kiba yawezekana imetokea hvyo japo anawaweza kulaumu upande was pili wa mondi kuwa kafanyiwa ujuma.
 
Huo wimbo ni mavi mavi nashangaa wanaomsifia mzuri..amebugi sana wimbo mzima anataja nchi za afrika
 
Wote kiba na mondi wakali,
Lakini kusema watu wamehaki viewers inawezekana au isiwezekane
 
Hata humu kuna mchezo wa kuongeza naniii wajanja wataelewa,mods kuweni kama you tube mtagundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…