Kwa hili nililopitia naanza kuamini uchawi upo

Kwa hili nililopitia naanza kuamini uchawi upo

fuqu

New Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
1
Reaction score
1
Maisha haya achaa tu

Tokea nimenunua ka vx8 nakutana na mambo ya ajabu sana juzi natoka zangu nyumbani naelekea shambani na gari langu mpya aina ya vx8 kwaajili ya kwenda kubebea mihogo na mkaa maana gari kama hizi kwenye familia yetu huwa hatutembeleagi kwahiyo naitumiaga tu kwa safari za shambani nikiludi huwa naipark

Basi ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuhi nimeanza safari nimetembea kama nusu saa hivi mara kukaanza kaupepo kwa mbali nikapandisha kioo cha vx nimetembea nafika kwenye pacha nakuta kimbunga kinazunguka hapohapo kwenye pacha nikapiga breki kushuhudia maajabu ya dunia nimesubir kwa muda kidogo maana pana kamsitu nikaona ngoja tu nipite na kweli nikapita katikati ile kupita nakuta msisimko wa ajabu kwenye mwili wangu ile natembeza nakuta kile kimbunga chaanza nifuata nikaongeza spidi nakuta kinakuja kwa kasi woga ukaanza nishika nikisimama kinasimama nikashuka kuanza kukimbia kilichofuata nikajikuta nipo shamba napakia mihogoo
 
Maisha Haya Achaa Tu

Tokea Nimenunua Ka Vx8 Nakutana Na Mambo Ya Ajabu Sana Juzi Natoka Zangu Nyumbani Naelekea Shambani Na Gari Langu Mpya Aina Ya Vx8 Kwaajili Ya Kwenda Kubebea Mihogo Na Mkaa Maana Gari Kama Hizi Kwenye Familia Yetu Huwa Hatutembeleagi Kwahiyo Naitumiaga Tu Kwa Safari Za Shambani Nikiludi Huwa Naipark

Basi Ilikuwa Mida Ya Saa Tano Hivi Asubuhi Nimeanza Safari Nimetembea Kama Nusu Saa Hivi Mara Kukaanza Kaupepo Kwa Mbali Nikapandisha Kioo Cha Vx Nimetembea Nafika Kwenye Pacha Nakuta Kimbunga Kinazunguka Hapohapo Kwenye Pacha Nikapiga Breki Kushuhudia Maajabu Ya Dunia Nimesubir Kwa Muda Kidogo Maana Pana Kamsitu Nikaona Ngoja Tu Nipite Na Kweli Nikapita Katikati Ile Kupita Nakuta Msisimko Wa Ajabu Kwenye Mwili Wangu Ile Natembeza Nakuta Kile Kimbunga Chaanza Nifuata Nikaongeza Spidi Nakuta Kinakuja Kwa Kasi Woga Ukaanza Nishika Nikisimama Kinasimama Nikashuka Kuanza Kukimbia Kilichofuata Nikajikuta Nipo Shamba Napakia Mihogoo
Bora wewe mimi toka nilipo pewa private jet na ex wangu kama zawad yangu ya ndoa mpaka Sasa iv Ile ndege kila nikipanda naiona kama gogo la mnazi wa kijiwen kwetu yani sielew elewi inakuaje
 
Ukashuka ukakimbia alaf ukajikuta unapakia mihogo [emoji38][emoji38]
Basi sawa, mmemaliza mitihani jana tu mshaanza fujo humu!
 
ukiamka usisahau kupiga mswaki mana utakua umetafuna sana mihogo
huko nanjilinji...
 
Back
Top Bottom