Kwa hili Ruby lazima niliseme

Kawaida sana wakuu au macho yangu
Mhhh sijui lkn nadhan haujaangalia performance yake na kama umeiangalia basi uliitazama tu!!!


Ruby by talent inabidi tumlinganishe na kina whitney houston(by talent sio umaarufu au vinginevyo) sio kama hawa wadada wengne hapa bongo
 
si alikuwa anagongwa na mzungu eeh angekuwa anagongwa na mm angekuwa anaimba vizuri zaidi japo anamsura mgumu anataka kujifanya Rihanna
 
Ruby ni mkali sana.
Na nandy pia ni mkali nimecheki show yake ya coke studio nimekubali..
Hawa mamanz ni noma sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah yaaan nandy anacho mzidi ruby ni uzuri na unyenyekevu kwa clods tu. Ila kwa talent ya kuimba, nandy akasome kwanza. Unajua nandy hata hafikii level za yule mshindi wa BSS mwaka jana.

Ruby angekua tu mpole kwa clouds hawa kinanandy hata msingewajua coz baada ya ruby kupotea ndo nandy akapata chance. Afu mbona performance ya nandy pale coke studio ni ya kawaida, ni kama tu za vanessa mdee
 
Huyu dada atafute mwandishi mzuri na melody atafika mbali tu hit baada ya hit ila lazima uwe na watengezaji wazuri wa muziki na watunzi kuimba kipaji anacho sasa ni kuboresha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…