Kwa hili sheria inasemaje?

Kwa hili sheria inasemaje?

Stevemike

Senior Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
117
Reaction score
15
Ukijenga nyumba na kukaa hapo kwa muda mrefu, kisha baada ya miaka barabara mpya ikachongwa na kupitia karibu sana nyumba hiyo kiasi cha kuacha hatua chache. Hapa sheria inasemaje kama nyumba hii sasa haipaswi kuwa hapo kulingana na nafasi kati ya barabara na nyumba? Na hatua gani ninapaswa kuchukua? Wanasheria mtusaidie. Steve.
 
from my knowledge, kuna power inayo mpa raisi uwezo wa kurevoke right yako ya occupancy over land for public interest kupitia delegation of power kwa minister, nadhani kujengwa kwa barabara ni for the public interest kama ilivyo kwenye Land Act R.E. 2002 ila kwa sababu eneo lile ulimiliki kihalali utatakiwa upewe fair compensation section 11(1)of Land Acquisation Act
 
Back
Top Bottom