M malemba Member Joined Dec 6, 2022 Posts 98 Reaction score 76 Jul 7, 2023 #1 Habari zenu wanajamvi kipindi hiki ni wakati wa maonyesho ya sabasaba. Nimeshangaa kuona simba na yanga hawana hata kibanda pale saba saba hili ni kosa kibiashara ukilinganisha hizi timu zina wafuasi wengi sana.
Habari zenu wanajamvi kipindi hiki ni wakati wa maonyesho ya sabasaba. Nimeshangaa kuona simba na yanga hawana hata kibanda pale saba saba hili ni kosa kibiashara ukilinganisha hizi timu zina wafuasi wengi sana.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jul 7, 2023 #2 somba
Kambaku JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 8,332 Reaction score 31,306 Jul 7, 2023 #3 Somba tena? Ila kweli hawa Somba Hawa lazima wajirekebishe
kaligopelelo JF-Expert Member Joined Jun 20, 2013 Posts 2,832 Reaction score 4,070 Jul 7, 2023 #4 Sasa Somba watauza nini wakati hawana jezi mpya
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 22, 2023 #5 Mambo yao waachie wenyewe...