Umakini wa serikali yetu uko wapi???? Tamisemi imetoa majina ya ajira mpya za walimu lakini cha kushangaza imeajiri walimubambao wako kwenye ajira tokea mwaka jana...Walimu waliomaliza chuo cha SEKOMU mwaka jana leo hii wameajiriwa kwa mara ya pili...tena kwa kuonyesha ni jinsi gani walivyo wazembe mikoa sio waliyopo sasa hivi kumaanisha kua wamewapanga upya na sio kukosea labda file au anything else. Kwa kweli hili limenisikitisha sana kwa serikali yangu sikivu ya Tanzania.