Kwakweli wamekosa ubunifu,ss sijui nani mwenye dhamana ya kuandaa hayo matangazo. Kituo ama chuo?
Ngoja nilicheki tangazo kwanza ndo niseme yangu, nisijeropoka bila kutazama tangazo, kama kuna mtu anaweza kuliweka hapa jukwaani aliweke tuone ubovu wake.
Nawe unaesema halifai sema matatizo yako wapi kisha utoe mapendekezo yako, tusiwe watu wakulaumu bila kutoa suluhisho maana hii nchi imefika pabaya kila kitu cha lalamikiwa!