emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 543
Wandugu,
Ni huzuni na masikitiko kuna huyu mama anaitwa Calorine Odinga ni mwalimu ambaye alikuwa msimamizi msaidizi wa tume ya uchaguzi Kenya amekutwa ameuawa, mara ya mwisho alikuwa anakwenda kufuatilia malipo.
Why yanatokea wakati huu wa mchakato wa kumpata President, Dunia lazima ijiulize na kufanya kinachostahili?
Ni huzuni na masikitiko kuna huyu mama anaitwa Calorine Odinga ni mwalimu ambaye alikuwa msimamizi msaidizi wa tume ya uchaguzi Kenya amekutwa ameuawa, mara ya mwisho alikuwa anakwenda kufuatilia malipo.
Why yanatokea wakati huu wa mchakato wa kumpata President, Dunia lazima ijiulize na kufanya kinachostahili?