Kwa hili, UDOM ni chuo KIKUBWA na si CHUO KIKUU

Huko utawala ndo tatizo na majungu yao pia udini upo anauleta huyo mama sisawa.
 
Uliyeandika iyo tittle kwanza Hujieshimu ndio maana hata unachokiandika akina maana,:A S 39: siri ya mtungi aijuae kata unacho andika uwe na ushaidi nacho.sio unakulupuka kama wanasiasa wa tanzania.
 
duuu,ni noma sana hao wanafunz wangeandamana ili mkapa ajiuzuru uprincipal b'se uongozi wake ulishafikia kikomo
 
Ushauri utolewe sio kulaumu 2 nn kifanyike? nan awajibishwe? kwenye taasisi hizi kiserikali maana wengi wao wanajifanya miungu watu nakusahau kua cheo ni dhamana 2
 
source ni mimi mwenyewe nalifahamu hilo kwasababu mimi ni mwajiri na nakutana nao wengi tu wananambia hivyo hao wanaofanya wanajitafutia kwa gharama zao wenyewe
Field wanafanya, hii sio habari ya ukweli.sijui umeitoa gazeti lipi
 
Wewe ni mwajiri,haujui mambo ya wanafunzi.tuulize sisi.
source ni mimi mwenyewe nalifahamu hilo kwasababu mimi ni mwajiri na nakutana nao wengi tu wananambia hivyo hao wanaofanya wanajitafutia kwa gharama zao wenyewe
 

mkuu mimi wapiga soga hawanisumbui nipo hapa namshukuru Mungu mambo yanaenda bila matatizo hawa wanaopiga mavuvuzela ni hasira baada ya kukosa ajira, ajira ni ngumu sana hasa ukitegemea chuo ulochosoma kikubebe lakini kama unasimama wewe na akili yako hope hutokuwa na muda wakujadili vyuo vingine maana ni upuuzi mtupu!
 
Pamoja sana mkuu.....!
 
This is how tanzania government is from "INTRO to OUTRO"
 
duuu,ni noma sana hao wanafunz wangeandamana ili mkapa ajiuzuru uprincipal b'se uongozi wake ulishafikia kikomo

hvi mkapa ni princple wa udom au chancellor?
 
UDOM inawatesa wahitimu siyo mchezo,na tatizo ma prof watawala sijui wanatumia vipi uprof wao
 
tatizo la kutowajibika kwa nafas zetu ndilo linalotutafuna watanzania.
 
kila mahali bongo pameoza.Nilisema anguko la kielimu linachangiwa na uhovyo wa watanzania sehemu nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…