Flelex curtis
Member
- Apr 20, 2013
- 46
- 16
Habari wapendwa wa jf.
Kwa walio wengi wetu tumeguswa na msiba wa msanii Albert Mangwea almaarufu kama mangwea. Katika kipindi hiki cha msiba usishangae kuona na hata kusikianyimbo ambazo zile zilikuwa hazipigwi kipindi cha uhai wake zikapigwa na hata kuhit kama walivyofanya kwa SHARO MILIONEA.yaan baada ya kufariki amewekwa kwenye TUZO?Na usishangae kama akipewa kiukwel nvyombo vya habar vya Tanzania ni wanafiki katika kipindi kama hiki.
Kwa walio wengi wetu tumeguswa na msiba wa msanii Albert Mangwea almaarufu kama mangwea. Katika kipindi hiki cha msiba usishangae kuona na hata kusikianyimbo ambazo zile zilikuwa hazipigwi kipindi cha uhai wake zikapigwa na hata kuhit kama walivyofanya kwa SHARO MILIONEA.yaan baada ya kufariki amewekwa kwenye TUZO?Na usishangae kama akipewa kiukwel nvyombo vya habar vya Tanzania ni wanafiki katika kipindi kama hiki.