Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.
Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.
Mara ngapi zahera katoa pesa yake kununulia wachezaji chapati?kuwanunulia chips kavu?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.
Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.
Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.
Mara ngapi zahera katoa pesa yake kununulia wachezaji chapati?kuwanunulia chips kavu?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.
Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.
Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba