mnyandzombe JF-Expert Member Joined Jul 24, 2015 Posts 245 Reaction score 194 Nov 22, 2017 #1 Hivi kwa nini wanawake wakiwa wajawazito huwa wakorofi sana. Maana uvumilivu inaweza shindikana. Wanaume nipeni nasaha mlivumiliaje masumbufu hayo maana sio kwa vitimbi hivi Unaweza hama nyumba
Hivi kwa nini wanawake wakiwa wajawazito huwa wakorofi sana. Maana uvumilivu inaweza shindikana. Wanaume nipeni nasaha mlivumiliaje masumbufu hayo maana sio kwa vitimbi hivi Unaweza hama nyumba
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Nov 22, 2017 #2 Vumilia miezi tisa sio mingi, yataisha....
osc michael Member Joined Sep 10, 2017 Posts 55 Reaction score 95 Nov 22, 2017 #3 hili ni tatizo la kisaikolojia, hivyo unachotaliwa kufanya ni ww kuwa naye karibu alafu baada ya muda iyo hali itaisha
hili ni tatizo la kisaikolojia, hivyo unachotaliwa kufanya ni ww kuwa naye karibu alafu baada ya muda iyo hali itaisha
mnyandzombe JF-Expert Member Joined Jul 24, 2015 Posts 245 Reaction score 194 Nov 23, 2017 Thread starter #4 asanten kwa kunipa moyo maana nilianza kuchoka
mwanamakole Member Joined Dec 3, 2015 Posts 94 Reaction score 102 Nov 23, 2017 #5 usikate tamaa Mnyandzombe. huyo ni wako yatakwisha tu na uskute anakuletea dume. kwa hiyo hapo si ajabu unapambana na katoto kako indirectly!
usikate tamaa Mnyandzombe. huyo ni wako yatakwisha tu na uskute anakuletea dume. kwa hiyo hapo si ajabu unapambana na katoto kako indirectly!