Kwa hisani ya Mfukunyuzi: Hii picha dah!

Kwa hisani ya Mfukunyuzi: Hii picha dah!

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
white poverty. sio kama tunapenda, bali na wao wawe na adabu kutufaya tuonekane kama vikaragosi wa sayari hii. Sembene Ousmane katika kitabu chake cha God's bits of wood kaonyesha ni jinsi gani wazungu wanavyotufananisha ma vipande vipande baada ya kuni inayohitajika kutolewa. nadhani mnavifahamu
 

Attachments

  • s24_00000010.jpg
    s24_00000010.jpg
    104.8 KB · Views: 284
Wameboka bora mbongo ukipinda inaeleweka je hao wapodo??
 
Duh wamechoka kinoma hivi unajua wazungu wengi hasa wa SA, Namibia, Zimbabwe wamechoka kinoma na ngozi zao zinadhihirisha hilo pindi tu ukikutana nao
 
Duh wamechoka kinoma hivi unajua wazungu wengi hasa wa SA, Namibia, Zimbabwe wamechoka kinoma na ngozi zao zinadhihirisha hilo pindi tu ukikutana nao
 
Duh wamechoka kinoma hivi unajua wazungu wengi hasa wa SA, Namibia, Zimbabwe wamechoka kinoma na ngozi zao zinadhihirisha hilo pindi tu ukikutana nao
 
mzungu akichoka unamuonea huruma
...Nitatafuta mmoja tena wa kike nimpe kazi ya kuwa house girl wangu. Kama huyo mdada wa mbele hapo alivyojichokea akipata kazi ana uhakika wa kula na kulala sidhani kama atatoa nje!!!
 
Back
Top Bottom