Kwa hisani ya Mzizi mkavu: HAWANA ADABU!

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Ndivyo anayoonekana kusema, Malkia akijiandaa aidha kuvua ama kuvaa vizuri mahijab

 
I can not see the problem!

When in Rome do What Romans do!
 
Shida ni nini kufuata taratibu za watu/dini fulani???mambo madogo jamani ila ya muhimu.....hana lolote alilopungukiwa kwa kuvaa hiivyo!
 
Ni masuala ya pride tu. Waarabu watachonga sana kumvisha bibi mahijab yao
 
Ni masuala ya pride tu. Waarabu watachonga sana kumvisha bibi mahijab yao

Wazungu hakuvaa hijabu ? so historia ya mavazi yao. Ilikua mwamamke akitaka kutoka nje ya nyumba lazima avae kitambaa ( bonnet ) kichwani na kuvaa nguo ya heshima ndefu yenye mikono mirefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…