STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Yani Unachati dem Wewe upo kibaruani yeye yupo
nyumbani mfano unachatnae fb,whatsaap au mtandao
wowote alafu unamuuliza baby unafanya nini now
anakwambia nimelala baadae tena unamuuliza
unafanya nini anakwambia nacheza playstation game
yani hana kazi yeye kulala lala siku zote zamaisha yake alafu ukichelewa kujibu mesage zake anatuna
kama mpira. Jamani wadada kuna kazi nyingi uza
hata nyanya,vitumbua,mandazi biashara zipo kazi
nyingi tu hata kama hauna mtaji njoo uniombe
ntakupa mdada wa hivi baadae anategemea umuoe
umuweke ndani saivi wanaume wote hatuki madem wakukaa kaa kutujazia choo mfanye kazi.... #Mimi ntaendelea kusema ukweli mimi sio sukari ya warembo me ni mgumu sukari ya warembo ni
diamond
kwahisani ya wanaume wenye msimamo
nyumbani mfano unachatnae fb,whatsaap au mtandao
wowote alafu unamuuliza baby unafanya nini now
anakwambia nimelala baadae tena unamuuliza
unafanya nini anakwambia nacheza playstation game
yani hana kazi yeye kulala lala siku zote zamaisha yake alafu ukichelewa kujibu mesage zake anatuna
kama mpira. Jamani wadada kuna kazi nyingi uza
hata nyanya,vitumbua,mandazi biashara zipo kazi
nyingi tu hata kama hauna mtaji njoo uniombe
ntakupa mdada wa hivi baadae anategemea umuoe
umuweke ndani saivi wanaume wote hatuki madem wakukaa kaa kutujazia choo mfanye kazi.... #Mimi ntaendelea kusema ukweli mimi sio sukari ya warembo me ni mgumu sukari ya warembo ni
diamond
kwahisani ya wanaume wenye msimamo