Kwa hiyo dogo aliyetutusi wananchi karejea tena?

Kwahyo mshery atakuwa anafanya nn.. au kula pesa za Bure, Duuuh hiz Timu zetu hzi
.!!
Majeruhi...huyu anakuja kwa mkopo wa miezi 6 Mshery atakuwa kapona kabisa na kucheza, yeye atarudi zake Singida BS, unless otherwise.
 
Mara huyu ni mchicha pori...mara huyu atuwekee dole kati..tutakuwa wageni wa nani sisi?
 
Singida na yanga si ni kama mtoto wa ba mdogo kwa ba mkubwa feisal pia mlipewa na singida kiufupi ukaribu wa singida na yanga ndio unasababisha haya yote.
 
Yaani Singida wamewaza nini kumtoa kipa wao namba moja kwa mkopo......??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…