BA-ECONOMICS ya hapa udsm haipo?ebu rudia kufanya utafiti wako upya..kufikisha hyo course work ya 16 tu mpaka twende muda wa nyongeza au wakati mwingne zinapatikana kwa matuta.
Umewahi sikia BSc Agricultural Engineering? , na BSc Verterinary Medicine zote za SUA
SUA hakuna kozi inaitwa BSc Veterinary Medicine (BSc VM).
Kuna Bachelor in Veterinary Medicine (BVM)
mleta uzi unatania watu coz ngumu duniani ni mbili tu Law na Medicine zingine uwezo wako tu ndo uutilie mashaka
unaijua GPA yake?law ina ugumu gani kama kilaza mfano wa jaji werema aliweza kuisoma na kufaulu?
Umewahi sikia BSc Agricultural Engineering? , na Bachelor in Veterinary Medicine (BVM) zote za SUA
B. A (pspa)political science and public adm. Udsm
B. A (pspa)political science and public adm. Udsm
Kama unakua na malengo ya kumaliza chuo kikuu na GPA kubwa, kwa hizi fani ni ngumu sana na kasa kwenye hivi vyuo.