Kwa hizi course ni ngumu sana kupata GPA kubwa

Toka lini of medicine wakawa na GPA
Hapo no 4 umedanganya
 
BA-ECONOMICS ya hapa udsm haipo?ebu rudia kufanya utafiti wako upya..kufikisha hyo course work ya 16 tu mpaka twende muda wa nyongeza au wakati mwingne zinapatikana kwa matuta.

Mkuu usisahau mwaka jana alieongoza kwa gpa kubwa katoka economics UDSM
 

diploma ya architecture MUST nayo ni hatari
 

we jamaa unasoma ardhi,Ila malengo yako yalikuwa ni udaktari ndo ushaukosa hivyo,pole
 
acheni kudscourage vjana wenye interest ya kusoma hzo kozi. mimi nimepiga GPA 4.6 telecomunication udsm.
 
duuuu hum ndani kweli kuna watu wanachanganya mafaili ni balaa
 
BSc Agricultural Engineering tunatubu huku SUA watu tunatembelea chaki maji yanataka kuzidi unga
 
Hakuna kitu kigumu na wala kitu rahisi katika kujifunza ni wewe mwenyewe.
 
Hey guyz mbona mnaisahau Bcom in information system management ya UDOM ni shidaaa njemba zinalia kila cku wakuu
 
kuna jamaa angu flan tunaheshmiana sana anasoma BAED siku moja nilienda kumchek kwake ananiambia eti hakuna somo gum kama KISWAHILI sasa mi nilishindwa kumcheka kwa sauti ikabidi niishie tu kuchekea tumboni,,, inawezekana ni kweli wadau???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…