ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Kuna haja ya kupima maemeo yote ambayo yanatumika kwa makzi, ilikuepuka changamoto ambazo zinaweza kusababisha madhara.
Ni vyema wahusika na wapimaji wa ardhi wangeanza kwanza upimaji kabl ya kukabidhi ardhi kwa wamiliki ili ianze kutumiwa au kuuzwa.
Licha ya mwazo haya pia napendekeza taharhari ziendelee kuchukuliwa kwa wakazi ambao wako maeneo hatarishi..
Ni vyema wahusika na wapimaji wa ardhi wangeanza kwanza upimaji kabl ya kukabidhi ardhi kwa wamiliki ili ianze kutumiwa au kuuzwa.
Licha ya mwazo haya pia napendekeza taharhari ziendelee kuchukuliwa kwa wakazi ambao wako maeneo hatarishi..