Hivi kwanini bingo views huwa inaonekana kushadasiwa sana wakati akina Justine bieber wanapiga Views billion 1 Halafu hana muda nazo kabisa?
Ungekua Raia wa hizo Nchi si zani kama usingeona wanashindana nao wao wanashindana na wenzakeJustine bieber wanapiga Views billion 1 Halafu hana muda nazo kabisa?
Bongo ubora wa wimbo unapimwa na views za UTubeHivi kwanini bingo views huwa inaonekana kushadasiwa sana wakati akina Justine bieber wanapiga Views billion 1 Halafu hana muda nazo kabisa?
huyo chris brown tu anashadidia views,icjekuwa wabongo!Hivi kwanini bingo views huwa inaonekana kushadasiwa sana wakati akina Justine bieber wanapiga Views billion 1 Halafu hana muda nazo kabisa?
Sio ubora wa wimbo, ni umaarufu wa wimbo na kukubalika kwa wimboBongo ubora wa wimbo unapimwa na views za UTube
Naona Mboso anaichukua nafasi ya Aslay.... - JamiiForumsWote mwezi uliopita (mwezi wa 9) waliachia video za ngoma zao pendwa... Alianza aslay akaachia video ya Kwatu tar. 12/9 (takribani siku 46 zimepita).... siku kumi na nne baadae yaani yar. 24/9 Mbosso naye akaachia video ya Hodari (Takribani siku 32 zimepita)...
Lakini kwa jinsi views zilivyo katika mtandao wa utube inaonesha kabisa mbosso kamfunika mwenzake mbali mnooo
Kwatu mpaka sasa ina views milioni 1.4 na ushee..
Wakati Hodari ina views milioni 2.9 na ushee... licha ya kutofautiana muda wa kuachiwa
Toa maoni yako kama unaamini Aslay keshazidiwa na Mbossokhan mshedede View attachment 911373View attachment 911374View attachment 911374
Ariana Grand Naye anashadidia views sembuse wabongoBongo ubora wa wimbo unapimwa na views za UTube
Hodari iko na vichombezo adimu mkuuMimi nawaelewa wote wawili ila kiukweli Kwa kipaji na ubora wa tungo, ASLAY ni bora zaidi ya Mbosso. Ila kinachotokea kwa sasa ni kuwa MBOSSO ana Back-up kubwa sana ya WCB wakiingozwa na Mondi hususani kwenye promotion na Marketing.
Kwa mfano nyimbo ya HODARI ni nyimbo ya kawaida sana ukiangalia Melodia yake na Lyrics zake ila tu imekuwa highly promoted ndio maana iko hivyo.
MAWAZO YANGU.