Kwa hoja hizi, shughuli za Sendoff na Kitchen party bado zina umuhimu au zifutwe?

Kwa hoja hizi, shughuli za Sendoff na Kitchen party bado zina umuhimu au zifutwe?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Marufuku imekuwa ikipigwa na madhehebu ya walokole , hasa kwa wanawake ambao wanapo okoka wanakuwa tayari wana watoto lakini hawana ndoa ama kwa kifupi wamezaa kabla ya ndoa.

HOJA ZA WANAOPINGA SEND OFF/K-PARTY:
  1. Wewe binti, kishakula tunda la mti wa kati , amekaa kwa mwanaume miaka 4 yote akiwa chuo, kazalishwa alafu kaachwa kaja kuolewa eti anaenda kanisani kufundishwa ndoa na mtu aliyezuiliwa kuoa kwa sheria za Wazungu. Huu ni ujinga wa hali ya juu kwakuwa huyo anayekufundisha hajui lolote.
  2. Binti umekaa kwa mwanaume , Hamisa ameishi na Aziz K miaka 3 sasa, alafu jumamosi hii eti Send off, yaani aagwa wapi wakati alishajiaga mwenyewe?
  3. Send of kufanyikia ukumbini, wakati mtoto anaagwa nyumbani kwao, huu ni ujinga.
  4. Mwanamke umeshatoa mimba zaidi ya 5 ukiwa chuo, alafu unataka baby shower ya mwanao, vipi hao 5 ulioua?
HOJA ZA WANAOTAKA SEND OF BAADA YA KUISHI NA MWANAUME MIAKA 5:
  1. Wanataka waweke historia kwenye familia, kumbuka sensa inaonyesha kwenye familia ya watoto 5 wa kike, mmoja ndio huolewa akiwa bikra na akitokea nyumbani, wengine hujisogezza na kuazalia huko.
  2. MICHANGO-mwanamke amechangia ndoa za wenzie tangu kuanza kazi mpaka kifua kimelegea na yeye kapata mtu wake aliyechoka sasa anataka achangiwe.
  3. MITANDAO YA KIJAMII:-wanawake wengi wanataka hizo send of na baby shower ili wapate cha kuposti na kuwakera ma-ex wao.
 
Marufuku imekuwa ikipigwa na madhehebu ya walokole , hasa kwa wanawake ambao wanapo okoka wanakuwa tayari wana watoto lakini hawana ndoa ama kwa kifupi wamezaa kabla ya ndoa.

HOJA ZA WALOKOLE:
  1. Wewe binti, kishakula tunda la mti wa kati , amekaa kwa mwanaume miaka 4 yote akiwa chuo, kazalishwa alafu kaachwa kaja kuolewa eti anaenda kanisani kufundishwa ndoa na mtu aliyezuiliwa kuoa kwa sheria za Wazungu. Huu ni ujinga wa hali ya juu kwakuwa huyo anayekufundisha hajui lolote.
  2. Binti umekaa kwa mwanaume , Hamisa ameishi na Aziz K miaka 3 sasa, alafu jumamosi hii eti Send off, yaani aagwa wapi wakati alishajiaga mwenyewe?
  3. Send of kufanyikia ukumbini, wakati mtoto anaagwa nyumbani kwao, huu ni ujinga.
  4. Mwanamke umeshatoa mimba zaidi ya 5 ukiwa chuo, alafu unataka baby shower ya mwanao, vipi hao 5 ulioua?
Samahani Jaji mfawithi, walokole wameingiaje hapo? Nimeona umeandika kiujumla ndio maana nimeshindwa kuona sababu ya mlokole kuwa mentioned.
 
Kufanya sherehe ya aina yoyote ile ni maamuzi ya wahusika binafsi...
Pia inategemea mmeokotana wapi??? Kwa mfano umeoa familia inayotegemea ikifanya send off ndio wazazi wapate kurudisha hela ambayo walichangia huko nyuma unategemea Nini....
Hapa najiaandaa kuingia kanisani kuna mtoto wa kiongozi mkubwa tu anaoa saa sita mchana huu na hawafanyi sherehe ya aina yoyote ile!!! Hata send off bibie alionywa haihitajiki!!! Tukitoka kanisani nyumbani pameandaliwa lunch ni kupata lunch na kutoa zawadi shughuli imeisha.!
 
Back
Top Bottom