Kwa hoja za hawa wanazi wa CCM, ni dhahiri tumeanza kuongea lugha moja

Kwa hoja za hawa wanazi wa CCM, ni dhahiri tumeanza kuongea lugha moja

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Rejea kichwa cha habari juu.

Kwa sasa bungeni hakuna wapinzani wa kweli, kwa hoja za wabunge halisi, wanazi, wanachama kindaki ndaki, watiifu wa CCM kama Nape Mnauye, Joseph Musukuma kuhusu kufungwa kwa biashara sasa tunaelekea kwenye chumba kimoja. Hii ni dalili ya kuanza kuongea lugha moja.

Hoja zao siyo mpya zilishatolewa na wabunge wa upinzani huko nyuma lakini walionekana "watu wa kupinga pinga kila kitu" wasiotaka serikali ikusanye kodi.

Tunamshukuru Magufuli sababu sasa mbinyo umekuwa ni kwa wote, uwe mpizani uwe chamani maumivu lazma uyapate huko uliko.

Huku nikiwazoom tu 2025 siyo mbali wakumbuke hata ka ataongezeaa muhula 10 maumivu ni kwa wote. Naishia hapo kwa leo.
 
'KWA SASA BUNGENI HAKUNA WAPINZANI WA KWELI' Kwa kuanza huko Umejipiga Knock out mwenyewe unaonekana ni wale wale. Nenda kajipange.
 
Mbona sauti yako ndogo mkuu

Ongeza volume iwe juu maana kuna baadhi ya nyumbu hapa kitaa waliokua waimba mapambio wa mboga mboga kipindi cha kampeni Leo wanalia lia hapa hali ngumu na Mimi huwa nawaambia wakaombe ajira ya hata ya kudeki choo pale Lumumba dadeq!

Mitano tena!

Au nadanganya ndugu zangu?
 
Kwann wabongo hatuwazi hili. Iv unadhani mbunge anaekula m12 yake kwa mwezi anaathirika nn na kufungwa kwa biashara?badala ya kushukuru atleast wametokea wa kuendelea kutusemea et unamshukuru anko hahaha we nawe akili huna. Kwahiyo unataka wasiongelee? Wakae kimya? Unadhani yeye anafaidika na nn?

Yapaswa muwatie moyo sio Kuwakebei maana wakinyamaza bado ni sisi tutaathirika wenye kipato cha chini. Et unashukuru kabisa haahah kwahiyo aliesababisha kawa mzuri ila waliokuwa kimya na sasa wameamua kuongea wanaonekana wabaya.si bora hata ungesema hauna wa kumshukuru.
 
Kwann wabongo hatuwazi hili.Iv unadhani mbunge anaekula m12 yake kwa mwezi anaathirika nn na kufungwa kwa biashara?badala ya kushukuru atleast wametokea wa kuendelea kutusemea et unamshukuru anko hahaha we nawe akili huna.Kwahiyo unataka wasiongelee?wakae kimya?unadhani yeye anafaidika na nn?Yapaswa muwatie moyo sio Kuwakebei maana wakinyamaza bado ni sisi tutaathirika wenye kipato cha chini.Et unashukuru kabisa haahah kwahiyo aliesababisha kawa mzuri ila waliokuwa kimya na sasa wameamua kuongea wanaonekana wabaya.si bora hata ungesema hauna wa kumshukuru
Unajua serikali inapata wapi pesa za kuiendesha? Bila shaka hujui. Kamsikilize Nape tena utamuelewa,huyo ng'ombe unaemtegemea kumkamua ili unywe maziwa siku akifa njaa utapata wapa maziwa mengine?
 
😆😆😆 Iv Msukuma akiongea na ww una take serious note?

Alipiga kelele kuhusu DED lkn mwishowe uliona ni nini kikitokea.

Binafsi nahisi zile ni drama za watu wa chama
 
😆😆😆 Iv Msukuma akiongea na ww una take serious note?

Alipiga kelele kuhusu DED lkn mwishowe uliona ni nini kikitokea.

Binafsi nahisi zile ni drama za watu wa chama
Funika kombe mwana haramu apite
 
Wapinzani waritucherewesha kwa maemdereo
 
'KWA SASA BUNGENI HAKUNA WAPINZANI WA KWELI'........ Kwa kuanza huko Umejipiga Knock out mwenyewe unaonekana ni wale wale......Nenda kajipange.
Ungeangalia na kutafakari content ungefanya la maana sana kuliko huko kukosoa huko kusikokusaidia....
 
Mbona sauti yako ndogo mkuu,
ongeza volume iwe juu maana kuna baadhi ya nyumbu hapa kitaa waliokua waimba mapambio wa mboga mboga kipindi cha kampeni Leo wanalia lia hapa hali ngumu na Mimi huwa nawaambia wakaombe ajira ya hata ya kudeki choo pale Lumumba dadeq!


Mitano tena!


Au nadanganya ndugu zangu?
Mimi nasisitiza tu "baba kazia hapo hapo, hakuna kulegeza mpaka akili zitukae sawa"

Halafu tutakutana 2025
 
Kwenye mazoezi, timu moja hujigawa 'vikosi viwili' na kufanya kama zinashindana.

Sijui tukwambie ukweli au tukuache tu!!
 
Nishajitokea zangu breakfast saa hivi natoboa toboa meno na tuthpick nawaangalia tuu .
 
Hao uliowazema ni wafanya biashara na pia wabunge wanavyoongea hapo pia wanajiongelea wenyewe japo ukweli mchungu hali ni mbaya.
 
Back
Top Bottom