Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wewe ni Kijana Me au Ke, Umeajiriwa au haujaajiriwa , Amka nasema Sasa basi !!.
Umasikini na Ukosefu wa Ajira Nchini kwetu ni wa kutengeneza tu na kua na viongozi wasio Wazalendo, wasowajibika, viongozi weziz Mafisadi ,Wapuuziaji wa Kila kitu , aina hii ya viongozi ndio wametufikisha hapa.
Kama hujasikiliza au kusoma Hotuba ya LUHAGA MPINA , jitahidi uipitie Kisha amua hatua gan yakupasa uwajibike kwayo !!.
Umasikini na Ukosefu wa Ajira Nchini kwetu ni wa kutengeneza tu na kua na viongozi wasio Wazalendo, wasowajibika, viongozi weziz Mafisadi ,Wapuuziaji wa Kila kitu , aina hii ya viongozi ndio wametufikisha hapa.
Kama hujasikiliza au kusoma Hotuba ya LUHAGA MPINA , jitahidi uipitie Kisha amua hatua gan yakupasa uwajibike kwayo !!.