uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Kwa muda mrefu sana toka wakati wa Chacha Wangwe, Zitto n.k CHADEMA kimekuwa chama rigid na kisichokubali kabisa kukosolewa hasa kupitia wafuasi wake ambao ukijaribu kukosoa utashambuliwa sana. Sasa kwa wale wanaojua siasa za nchi hii chadema ndio inazama.
Yah, kama jua la jioni upande wa Magharibi CHADEMA ndio inazama. Kama vilivyo vyama vingine rangi za majengo na bendera vitabaki kama alama kwa angalau miaka 10 ijayo Kisha vitafutika rasmi kama NCCR.
Kwa sasa ngoja tungoje Euro huku tukifurahia mbilinge za usajili.
Yah, kama jua la jioni upande wa Magharibi CHADEMA ndio inazama. Kama vilivyo vyama vingine rangi za majengo na bendera vitabaki kama alama kwa angalau miaka 10 ijayo Kisha vitafutika rasmi kama NCCR.
Kwa sasa ngoja tungoje Euro huku tukifurahia mbilinge za usajili.