K kifimbocheza_ JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 1,119 Reaction score 1,095 Apr 11, 2018 #1 Amber Lulu kauanza vizuri sana huu mwaka, akiendelea kukaza hivi baada ya mda mfupi atakuwa mbali sana. Jini kisirani imekuwa hit song kama ilivokuwa papa ya gig money mwaka jana. Umeua sana mwanangu Amber Lulu kwenye hii ngoma.
Amber Lulu kauanza vizuri sana huu mwaka, akiendelea kukaza hivi baada ya mda mfupi atakuwa mbali sana. Jini kisirani imekuwa hit song kama ilivokuwa papa ya gig money mwaka jana. Umeua sana mwanangu Amber Lulu kwenye hii ngoma.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Apr 11, 2018 #2 kumbe unaongea na mwanao...
PROF NDUMILAKUWILI JF-Expert Member Joined Mar 25, 2016 Posts 10,518 Reaction score 13,144 Apr 11, 2018 #3 Ndio nani?weka picha tumtambue.
K kifimbocheza_ JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 1,119 Reaction score 1,095 Apr 11, 2018 Thread starter #4 PROF NDUMILAKUWILI said: Ndio nani?weka picha tumtambue. Click to expand... Kaka, Amber Lulu humjui?
K kifimbocheza_ JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 1,119 Reaction score 1,095 Apr 11, 2018 Thread starter #5 Joseverest said: kumbe unaongea na mwanao... Click to expand... Ndiyo.
habari ya hapa JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 12,791 Reaction score 8,749 Apr 11, 2018 #6 Pasi na picha havinogi
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,361 Reaction score 21,680 Apr 11, 2018 #7 PROF NDUMILAKUWILI said: Ndio nani?weka picha tumtambue. Click to expand... Bila shaka upo koromije kabisaaa
PROF NDUMILAKUWILI said: Ndio nani?weka picha tumtambue. Click to expand... Bila shaka upo koromije kabisaaa