Kwa huu ukaribu wa Ronaldo na Mbappe na Mwamuzi Mreno kuihukumu fainali Jumapili, mashabiki wa Argentina tuna hofu

Kwa huu ukaribu wa Ronaldo na Mbappe na Mwamuzi Mreno kuihukumu fainali Jumapili, mashabiki wa Argentina tuna hofu

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Haiwezekani Mchezaji Christiano Ronaldo Siku zote alikuwa hana Urafiki na Kylian Mbape na Timu ya Ufaransa leo hii amekuwa nae na kuwa nao bega kwa bega.

Haiwezekani FIFA wanajua fika kuwa Wareno kwa Upendo walionao kwa Ndugu yao Christiano Ronaldo Wanamchukia Mchezaji Lionel Messi halafu leo tena wanampanga Mwamuzi (Referee) Artur Soares kuchezesha Mechi ya Fainali ya Kombe la Dunia Siku ya Jumapili huko nchini Qatar.

Cognizant (alias) Adorable Angel nikiwa ni Team Argentina na Team Messi naanza kupatwa na Hofu (Wasiwasi) japo Kiufundi wa Uwanjani naiona Argentina wako vizuri na Watashinda na kuwa Mabingwa.
 
Refa n polishman Poland alikuwa achezeshe Mike Oliver wakamrudisha nyumbani
 
Mleta mada acha kukurupuka na stori za facebook, mwamuzi ni mpoland
 
Labda hujuwi history ya Mbappe,,

Mbape idol wake ni Ronaldo.
Tafuta history ya Mbappe.
 
Back
Top Bottom