Kwa huu Ukweli Mchungu wa huyu Mtangazaji wangu bora wa Michezo nchini Alex Luambano wa Clouds FM naomba atunukiwe Tuzo ya Heshima upesi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Yanga SC haiandaliwi Kiushindani Uwanjani ila kilichopungua tu sasa ni Strategy ya Kibiashara zaidi ambapo kila mwaka Timu inasajili Wachezaji wengi wa Kigeni kisha kuwatengenezea Hamasa ya Kimvuto kwa Mashabiki halafu wanatumika Kujaza Uwanja na Kuuza Jezi zao nyingi na Kutajirisha Kampuni na Watu wachache wachache tu", Alex Luambano.

Chanzo: Hili Game Program Clouds FM

Mtangazaji Alex Luambano hujawahi Kuniangusha (hasa katika Suala la kusema Ukweli) na Kitu pekee ninachokupendea huwa huna Upendeleo katika Kuvisema hivi Vilabu vikubwa na vikongwe nchini Tanzania vya Simba na Yanga.

Kwa hiki ulichokisema leo najua utachukiwa na Wapuuzi na Wanafiki wengi ( hasa wenye Upeo Hafifu ) ila kwa Wanamichezo tunaojitambua na Kichwani zimetimia tumekuelewa na ndiyo maana tunasema unastahili Tuzo ya Heshima.
 
Pia siku akiisema Simba msimuchukie na kumu unfollow kwa sababu nyie Simba mnaushabiki wa kimaandazi hampendi kuambiwa ukweli
Kwa taarifa yako tu sasa nina Miaka 15 ya Kumsikiliza Mtangazaji Alex Luambano wa Clouds FM na hajawahi kuwa Mnafiki au mwenye Upendeleo katika kutoa maoni yake kwa Vilabu vya Simba na Yanga.

Fuatilia huko nyuma ameshawahi Kutuchana vilivyo Simba SC mpaka Siku Moja Crescetius Magori na Ismail Rage wakamsifu kwa kutusema Simba SC na wakamuahidi kuwa aliyosema Simba SC itayafanyia Kazi na mengi yameshatatuliwa.
 
Clouds kiukweli huwa wanajitahidi kubalance weledi ila Hawa kenge wengine efm na wasafi Wana cha kujifunza kutoka clods
Na huwezi amini Ndugu Mtangazaji Alex Luambano namjua toka tukiwa Wadogo kule Temeke na Kucheza nae Mpira kuwa ni mwana Simba SC mzuri tu ila katika Kazi ( Utangazaji ) huwa anatanguliza Uweledi na hajawahi Kutupendelea Simba SC tena ndiyo huwa anatuchana ( anatusema ) vibaya kuliko hata Yanga SC.
 
Anaposema wanaitajirisha kampuni au watu wachache ana maana gani? Akutaka watu wanunue jezi au alitakaje, au jezi zilizonunuliwa ni za timu nyingine sio yanga? Na msambazaji official wa jezi za yanga ni nani angewaambia kwanza kabla amjarukia hoja na kushadadia upuuzi otherwise inawezekana umemlisha maneno mengine ambayo ajaongea kwa maslahi yako wewe binafsi, na akija kesho akwambie kuwa Fred vunjabei anajinufaisha yeye na mwamed kwenye kuuza jezi za simba pia umpigie makofi pia
 
Jamaa yupo POA Sana,akina shafii walikuwa wanazunguka zunguka tu,jamaa akawauliza kwa misimu yote mitatu GSM anasajili kundi kubwa la wachezaji tokea aanze kufanya hivyo kwa misimu mi 3 ni wachezaji gani wameleta tija ndani ya yanga? Wanaanza Ohio sijui aah eeh unajua luambano unajua.lwambano akaona Hawa wachambuzi wangu wanafiki wazandiki wanashindwa kuuongea ukweli akaona ngoja niwape yanga vidonge vyao.SHIKAMOO KUBWA SANA LUAMBANO HAKIKA UKWELI HUWA UNAKUWEKAGA HURU SIKU ZOTE.
 
Hawa Wachambuzi wetu wangekuwa smart wangetakiwa kuzingatia yafuatayo:-

1. Ligi yetu ilichelewa sana kumalizika!
2. Yanga wamemaliza mashindano July 25.
3. Baada ya kumaliza mashindano WAKALAZIMIKA kufanya usajiri wa kuziba mapengo ambayo kila anayefuatilia soka aliyaona msimu uliopita!!
4. Yanga wamekuja kukamilisha usajiri katikati ya August.
5. Baada ya kukamilisha usajiri, wakaanza safari ya Morocco kwa ajili ya maandalizi.
6. Kabla hawajatulia, mara ratiba ya CAF inatoka na Yanga wanatakiwa kucheza michezo ya awali muda mfupi ujao (sikumbuki vizuri nini kilianza kati ya safari na ratiba manake vilifuatana)
7. Kwahiyo ndani ya chini ya mwezi mmoja Yanga wakajikuta wanatakiwa kuwa Morocco, Wiki ya Mwanachi, Mchezo wa awali wa CAF!
8. Wakalazimika kuvunja kambi Morocco
9. Kwavile wameshachukua mpunga wa kutosha kutoka Azam, ilikuwa LAZIMA Wiki ya Mwananchi ifanyike kwa sababu hakuna content bora kwa Azam kama Wiki ya Mwananchi
10. Swali lilibaki ifanyike lini hiyo Wiki ya Mwananchi!! Hutakiwi kuwa genius kufahamu ilitakiwa ifanyike mapema iwezekanavyo ili angalau wapate muda kidogo kuelekea mechi ya CAF!

Kinachowasaidia Simba ni kwa sababu tu wao wanaanza mzunguko wa pili, na tarehe ipo mbali kwahiyo hawana pressure! Ndo vile tu Baba zake wadogo na shangazi zake na Mwamedi wamegoma kutoa pesa zaidi kwa Mwamedi za kuendelea kuwaweka Makorokoro huko Morocco, vinginevyo Makorokoro bado walikuwa na uwezo wa kubaki Morocco hata kwa wiki 2 zaidi na wasiathirike! Kama sivyo, hata Simba nao wangepata hili tatizo kwa sababu na wenyewe wamesajiri wachezaji wengi ambao wala wasingepata muda wa kuwaunganisha na timu yao ya zamani.

Halafu hawa Wachambuzi uchwara wajaribu kutumia akili kidogo!! Mbwembwe za kutambulisha akina Manara hazifanyi mazoezi kwenye pitch kusimama kwa sababu wanaohusika na mambo kama hayo, including maandalizi ya Wiki ya Mwananchi sio watu wa Benchi La Ufundi. Kama Mwamedi asingegomewa zile pesa za urithi, Makorokoro FC wangekuwa na uwezo wa kubaki Morocco na kurudi Dar siku 1 au mbili kabla ya Kilele cha Simba Day na bado kusiwe na tofauti yoyote ile, unless changamoto iwe usafiri.
 
Maneno mengi ila hakuna cha maana.. Utakuta eti nawe ni baba...

Muda wa kuandika huu utumbo, ungeenda chooni kuuchomoa huo mwiko huko nyuma...
Of course, mimi ni baba. Nenda tu kamuulize vizuri mamako kuwa baba ako hasa ni nani; na ni nani alimfundisha mamako tabia yake ya kupenda kuingizwa mwiko nyuma hadi akazaa laana anayedhani kila mtu anapenda kuingizwa mwiko nyuma kama anavyopenda mamako
 
Genta bana kila mtu ulisoma nae au unamjua kiundani

Si ajabu hata mm nikiwa maarufu utaanza kuwaambia watu humu umesoma na Mimi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 

Utumbo mtupu [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Sawa bwana Luambano umeona uje ujipe shavu na huku [emoji23]
 
Pia siku akiisema Simba msimuchukie na kumu unfollow kwa sababu nyie Simba mnaushabiki wa kimaandazi hampendi kuambiwa ukweli
Mwaka huu tutajitahidi tusikie na kukubali huo ukweli na uwe ukweli haswa vinginevyo tuta wapotezea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…