Kwa huu uteuzi, Rais mpya wa Tanzania amedhamiria kurekebisha uhusiano, tumesigana vya kutosha

Kwa huu uteuzi, Rais mpya wa Tanzania amedhamiria kurekebisha uhusiano, tumesigana vya kutosha

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kwa kweli ndani ya awamu ya tano Tanzania ilivuruga sana kwenye mahusiano ya kimataifa na baina yake na majirani, nakumbuka hadi Ma-DC wa wilaya za mipakani walikuwa na jeuri ya kuita vikao vya wanahabari na kuzomea na kuibuka na kauli za kwamba wamezuia wakenya kuingia Tanzania, jameni unashangaa hivi nchi gani isiyo na sera za mahusiano ya kimataifa, matamko kama hayo yanatolewaje na DC, kwani waziri mwenye dhamana yuko wapi, inaruhusiwaje kila kiongozi abwatuke lake na kufanya maamuzi dhidi ya jirani ambaye ni mshirika mkubwa kibiashara na kiuchumi.

Nashukuru uongozi wa Kenya kwa maana walionyesha uvumilivu wa hali ya juu na kushirikisha diplomasia kwenye kila pigo dhidi yetu. Naona rais mama Suluhu amemteua mwana diplomasia kuwa waziri wa mahusiano ya kimataifa, hiyo ni hatua chanya maana kwamba kila kitu kinashughulkiwa kitaalam sio kila mtu aruhusiwe kubweka, ifahamike haya mambo yapo kitaaluma, kuna watu wanasomea kabisa kwenye vyuo na kupata vyeti vya "International Relations & Diplomacy", kila kitu kina itifaki zake, tujifunze kuheshimu taaluma za watu, waachiwe uhuru wa kufanya kazi zao.

========================

mula pic

Ambassador Liberata Mulamula takes oath as a Member of Parliament following her nomination to the House by President Samia Suluhu Hassan in Dodoma on Thursday. She was later sworn in as Foreign minister. PHOTO | EDWIN MJWAHUZI
Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan named Ms Liberata Mulamula as the new Foreign minister, prompting some people to look into the latter’s background.

Following this, a number of people reacted, mostly on social media, expressing their satisfaction with the choice for the key docket - given the fact that Ambassador Mulamula has a solid background in public service, particularly as a career diplomat.

Although Ms Mulamula is joining the cabinet for the first time, she has a 35-year experience as a diplomat who represented Tanzania in different missions and other international bodies.

She replaced Prof Palamagamba Kabudi, a law don, who was relocated to the ministry of Justice and Constitutional Affairs.

Ambassador Mulamula, 65, was sworn in on April 1 this year at the Chamwino State House in Dodoma along with other newly-appointed ministers, deputies and Chief Secretary Hussein Kattanga.

She becomes the country’s 16th Foreign Affairs minister - and the second woman to serve in that position after Dr Asha-Rose Migiro, who served between January 2006 and January 2007.


Analysts expressed optimism - given her elaborate record as a diplomat - saying she would use her experience to help shape a practical Tanzanian foreign policy.

The University of Dar es Salaam’s Political Science lecturer Prof Bernadeta Kiliani, says Tanzanians have witnessed Ms Mulamula working in several foreign missions for a long time - and, hence, she knows her way in that area.

She pointed out that Tanzania’s foreign policy would now become clearer, more purposeful.

“Being nominated by the President to lead one of the key ministries is proof that the President herself believes in the capabilities of Ms Mulamula to actually bring about transformation in foreign policy,” Prof Kiliani said.

She further said that Tanzanians should give Ms Mulamula time to start showing how she would reshape Tanzania’s foreign policy.

For his part, Mr Paul Loisulie, a political analyst at the University of Dodoma, said Ms Mulamula must first address rumblings that have marked Tanzania’s foreign policy for quite some time.

“There are claims that Tanzania has not had good relations with a number of countries recently. For instance, never ending squabbles with Kenya and other countries. She must end that and ensure Tanzania sits at a dialogue table with all nations,” argued Mr Loisulie.

He further advised that Ambassador Mulamula should spearhead economic diplomacy so that Tanzania would benefit from its relations socially and economically.

“She has to restore Tanzania’s status as a respected member of the international community built over many years,” says Mr Loisulie.

For her part, Ms Lilian Liundi, the executive director of Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), said Ms Mulamula was well-known from the days she was leader of the steering committee of African Women Leadership Network (AWLN).

“She has a rich history in leadership and public service. She has the requisite skills and experience for the tasks ahead. So, we’re hopeful that she would deliver accordingly and bring about transformation in the foreign policy,” explained Ms Liundi.

She expressed her belief that the new leader at the Foreign docket would keenly negotiate Tanzania’s stands in talks with other foreign countries.

“It is important that Minister Mulamula pushes for win-win situation in all negotiations so that Tanzania would benefit accordingly,” Ms Liundi said.

Ms Mulamula is a graduate of St John’s University in New York where she acquired a Master’s degree in Government and Politics, as well as a Postgraduate Diploma in International Law.

She received her Bachelor’s degree in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.

Previously, Ms Mulamula was the permanent secretary in the ministry of Foreign Affairs and International Co-operation until 2016.

Prior to that position, she was Tanzania’s ambassador to the United States and Mexico. She also worked as a Special Advisor to President Jakaya Kikwete on diplomatic matters from 2012 to 2013.

Then she served as the first executive secretary of the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) - and, while in that position Ms Mulamula oversaw 11 countries from 2006 to 2011.

As she served in multiple diplomatic positions, she provided managerial and administrative leadership to the ministry’s staff and Tanzania Diplomatic Envoys abroad.

Having served for a while at the State House, she successfully coordinated the visits of President Xi Jiping of China and President Barack Obama to Tanzania in July 2013, as well as the visits of other heads of state and high officials.

She attended cabinet meetings, prepared policy briefs for the President, and aided the implementation of cabinet decisions in areas of international partnerships in order to achieve the country’s development goals.

During her tenure in Washington, Ms Mulamula participated actively in the preparations for the first US-Africa Summit on Partnership for Economic Growth.

She also oversaw the implementation of various programmes that were funded by US development agencies and institutions, including the Millennium Challenge Compact, the Power Africa Initiative, the Feed the Future Programme, the Scaling Up Nutrition Movement, the US President’s Emergency Plan for Aids Relief, the President’s Malaria Initiative, Maternal and Child Healthcare initiative.

Addressing the appointment and swearing-in of Ms Mulamula as the minister for Foreign Affairs, political analysts and a gender specialist have detailed the reasons why she was the right choice for the post - and what she has to do to straighten the ministry of Foreign Affairs accordingly.


 
Kwa kweli ndani ya awamu ya tano Tanzania ilivuruga sana kwenye mahusiano ya kimataifa na baina yake na majirani, nakumbuka hadi Ma-DC wa wilaya za mipakani walikua na jeuri ya kuita vikao vya wanahabari na kuzomea na kuibuka na kauli za kwamba wamezuia wakenya kuingia Tanzania, jameni unashangaa hivi nchi gani isiyo na sera za mahusiano ya kimataifa, matamko kama hayo yanatolewaje na DC, kwani waziri mwenye dhamana yuko wapi, inaruhusiwaje kila kiongozi abwatuke lake.

Nashukuru uongozi wa Kenya kwa maana walionyesha uvumilivu wa hali ya juu na kushirikisha diplomasia kwenye kila pigo dhidi yetu. Naona rais mama Suluhu amemteua mwana diplomasia kuwa waziri wa mahusiano ya kimataifa, hiyo ni hatua chanya maana kwamba kila kitu kinashughulkiwa kitaalam sio kila mtu aruhusiwe kubweka, ifahamike haya mambo yapo kitaaluma, kuna watu wanasomea kabisa kwenye vyuo na kupata vyeti vya "International Relations & Diplomacy", kila kitu kina itifaki zake, tujifunze kuheshimu taaluma za watu, waachiwe uhuru wa kufanya kazi zao.

========================

mula pic

Ambassador Liberata Mulamula takes oath as a Member of Parliament following her nomination to the House by President Samia Suluhu Hassan in Dodoma on Thursday. She was later sworn in as Foreign minister. PHOTO | EDWIN MJWAHUZI
Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan named Ms Liberata Mulamula as the new Foreign minister, prompting some people to look into the latter’s background.

Following this, a number of people reacted, mostly on social media, expressing their satisfaction with the choice for the key docket - given the fact that Ambassador Mulamula has a solid background in public service, particularly as a career diplomat.

Although Ms Mulamula is joining the cabinet for the first time, she has a 35-year experience as a diplomat who represented Tanzania in different missions and other international bodies.

She replaced Prof Palamagamba Kabudi, a law don, who was relocated to the ministry of Justice and Constitutional Affairs.

Ambassador Mulamula, 65, was sworn in on April 1 this year at the Chamwino State House in Dodoma along with other newly-appointed ministers, deputies and Chief Secretary Hussein Kattanga.

She becomes the country’s 16th Foreign Affairs minister - and the second woman to serve in that position after Dr Asha-Rose Migiro, who served between January 2006 and January 2007.


Analysts expressed optimism - given her elaborate record as a diplomat - saying she would use her experience to help shape a practical Tanzanian foreign policy.

The University of Dar es Salaam’s Political Science lecturer Prof Bernadeta Kiliani, says Tanzanians have witnessed Ms Mulamula working in several foreign missions for a long time - and, hence, she knows her way in that area.

She pointed out that Tanzania’s foreign policy would now become clearer, more purposeful.

“Being nominated by the President to lead one of the key ministries is proof that the President herself believes in the capabilities of Ms Mulamula to actually bring about transformation in foreign policy,” Prof Kiliani said.

She further said that Tanzanians should give Ms Mulamula time to start showing how she would reshape Tanzania’s foreign policy.

For his part, Mr Paul Loisulie, a political analyst at the University of Dodoma, said Ms Mulamula must first address rumblings that have marked Tanzania’s foreign policy for quite some time.

“There are claims that Tanzania has not had good relations with a number of countries recently. For instance, never ending squabbles with Kenya and other countries. She must end that and ensure Tanzania sits at a dialogue table with all nations,” argued Mr Loisulie.

He further advised that Ambassador Mulamula should spearhead economic diplomacy so that Tanzania would benefit from its relations socially and economically.

“She has to restore Tanzania’s status as a respected member of the international community built over many years,” says Mr Loisulie.

For her part, Ms Lilian Liundi, the executive director of Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), said Ms Mulamula was well-known from the days she was leader of the steering committee of African Women Leadership Network (AWLN).

“She has a rich history in leadership and public service. She has the requisite skills and experience for the tasks ahead. So, we’re hopeful that she would deliver accordingly and bring about transformation in the foreign policy,” explained Ms Liundi.

She expressed her belief that the new leader at the Foreign docket would keenly negotiate Tanzania’s stands in talks with other foreign countries.

“It is important that Minister Mulamula pushes for win-win situation in all negotiations so that Tanzania would benefit accordingly,” Ms Liundi said.

Ms Mulamula is a graduate of St John’s University in New York where she acquired a Master’s degree in Government and Politics, as well as a Postgraduate Diploma in International Law.

She received her Bachelor’s degree in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.

Previously, Ms Mulamula was the permanent secretary in the ministry of Foreign Affairs and International Co-operation until 2016.

Prior to that position, she was Tanzania’s ambassador to the United States and Mexico. She also worked as a Special Advisor to President Jakaya Kikwete on diplomatic matters from 2012 to 2013.

Then she served as the first executive secretary of the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) - and, while in that position Ms Mulamula oversaw 11 countries from 2006 to 2011.

As she served in multiple diplomatic positions, she provided managerial and administrative leadership to the ministry’s staff and Tanzania Diplomatic Envoys abroad.

Having served for a while at the State House, she successfully coordinated the visits of President Xi Jiping of China and President Barack Obama to Tanzania in July 2013, as well as the visits of other heads of state and high officials.

She attended cabinet meetings, prepared policy briefs for the President, and aided the implementation of cabinet decisions in areas of international partnerships in order to achieve the country’s development goals.

During her tenure in Washington, Ms Mulamula participated actively in the preparations for the first US-Africa Summit on Partnership for Economic Growth.

She also oversaw the implementation of various programmes that were funded by US development agencies and institutions, including the Millennium Challenge Compact, the Power Africa Initiative, the Feed the Future Programme, the Scaling Up Nutrition Movement, the US President’s Emergency Plan for Aids Relief, the President’s Malaria Initiative, Maternal and Child Healthcare initiative.

Addressing the appointment and swearing-in of Ms Mulamula as the minister for Foreign Affairs, political analysts and a gender specialist have detailed the reasons why she was the right choice for the post - and what she has to do to straighten the ministry of Foreign Affairs accordingly.


Hahahaha, mnaitegemea sana Tanzania katika maisha yenu yote, msitegemee jipya katika mahusiano kati ya Tanzania na Kenya kubadilika, kumbuka Kenya inakwaruzana na majirani wake wote.

Kuna mambo mengi yatabadilika katika uongozi wa mama Samia lakini sio mahusiano na Kenya, ninyi ni vichwa ngumu hamuwezi kuelewana na nchi yoyote ile, kama ninyi wenyewe hamuelewani, rais na naibu wake ni kama paka na panya, Jaluo vs Kikuyu, Kalenjin vs Kikuyu, Samburu vs Turkana, vipi unahisi Kenya inaweza kuelewana na Tanzania?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tz haijawahi na haina Tatizo lolote na Majirani zake 8,
Kinachotokea huwa ni Upumbavu wa viongozi wa Kenya,
Tz Kamwe haiwezi Vumilia upumbavu wa wa lile genge la wahuni linajiita serikali ya Kenya.
Yaani hatujawahi endana tangu uhuru na usitegemee chochote kubadilika unless viongozi wenu waache Upumbavu na kuwa mbwa wa wazungu.
 
Tz haijawahi na haina Tatizo lolote na Majirani zake 8,
Kinachotokea huwa ni Upumbavu wa viongozi wa Kenya,
Tz Kamwe haiwezi Vumilia upumbavu wa wa lile genge la wahuni linajiita serikali ya Kenya.
Yaani hatujawahi endana tangu uhuru na usitegemee chochote kubadilika unless viongozi wenu waache Upumbavu na kuwa mbwa wa wazungu.

Hehehehe MATAGA wengi naona mumekua kama mayatima na kupoteana, kila mmoja na kauli zake, mama amewachanganya hamjakaa mumsome kwanza, mpaka sasa naona anaendelea kutengua ujuha wote mliokua nawo, ambao ndio ulikua mtaji wenu humu.

Ila kuna huu uzi jamaa amechambua, nimeusoma neno kwa neno, mlikua hali mbovu sana, hebu usome japo tatizo lenu kubwa uzembe wa kusoma Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza
 
Sera za Tanzania za mambo ya nje ni zile zile hazibadilishwi na waziri. Msimamo wa Tanzania ni ule ule
  • Ujenzi wa uhuru, haki na usawa
  • Kulinda utaifa, mipaka utawala na uhuru wa kisiasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kusaidia mapambano dhidi ya ukoloni, ubaguzi wa rangi na ukoloni mamboleo
  • Kuwasaidia watu wanaonyanyaswa duniani kote
  • Kukuza umoja wa Afrika
  • Kusimamia sheria zinaheshimu kutokuingilia mambo ya ndani nchi nyingine
  • Kusaidia utekelezaji wa sera ya kutofungamana na upande wowote
  • Kuungana na Umoja wa Mataifa katika kutafuta amani na usalama wa kimataifa
  • Kuhimiza ujirani mwema
 
binafs, nimetokea kumkubali sana mama. kwa hakika mama ni mpole, mkarimu na anashirikisha ubongo zaidi kuliko kutumia kifua. nina imani mama atatufikisha mbali sana na kutuletea heshma katika taifa letu. taifa hili lilikuwa linaelekea kuzama lakini tangu mama ashike usukani, nimeanza kuona mwangaza.
aisee after all, nani kama mama?
 
Kwa kweli ndani ya awamu ya tano Tanzania ilivuruga sana kwenye mahusiano ya kimataifa na baina yake na majirani, nakumbuka hadi Ma-DC wa wilaya za mipakani walikuwa na jeuri ya kuita vikao vya wanahabari na kuzomea na kuibuka na kauli za kwamba wamezuia wakenya kuingia Tanzania, jameni unashangaa hivi nchi gani isiyo na sera za mahusiano ya kimataifa, matamko kama hayo yanatolewaje na DC, kwani waziri mwenye dhamana yuko wapi, inaruhusiwaje kila kiongozi abwatuke lake na kufanya maamuzi dhidi ya jirani ambaye ni mshirika mkubwa kibiashara na kiuchumi.

Nashukuru uongozi wa Kenya kwa maana walionyesha uvumilivu wa hali ya juu na kushirikisha diplomasia kwenye kila pigo dhidi yetu. Naona rais mama Suluhu amemteua mwana diplomasia kuwa waziri wa mahusiano ya kimataifa, hiyo ni hatua chanya maana kwamba kila kitu kinashughulkiwa kitaalam sio kila mtu aruhusiwe kubweka, ifahamike haya mambo yapo kitaaluma, kuna watu wanasomea kabisa kwenye vyuo na kupata vyeti vya "International Relations & Diplomacy", kila kitu kina itifaki zake, tujifunze kuheshimu taaluma za watu, waachiwe uhuru wa kufanya kazi zao.

========================

mula pic

Ambassador Liberata Mulamula takes oath as a Member of Parliament following her nomination to the House by President Samia Suluhu Hassan in Dodoma on Thursday. She was later sworn in as Foreign minister. PHOTO | EDWIN MJWAHUZI
Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan named Ms Liberata Mulamula as the new Foreign minister, prompting some people to look into the latter’s background.

Following this, a number of people reacted, mostly on social media, expressing their satisfaction with the choice for the key docket - given the fact that Ambassador Mulamula has a solid background in public service, particularly as a career diplomat.

Although Ms Mulamula is joining the cabinet for the first time, she has a 35-year experience as a diplomat who represented Tanzania in different missions and other international bodies.

She replaced Prof Palamagamba Kabudi, a law don, who was relocated to the ministry of Justice and Constitutional Affairs.

Ambassador Mulamula, 65, was sworn in on April 1 this year at the Chamwino State House in Dodoma along with other newly-appointed ministers, deputies and Chief Secretary Hussein Kattanga.

She becomes the country’s 16th Foreign Affairs minister - and the second woman to serve in that position after Dr Asha-Rose Migiro, who served between January 2006 and January 2007.


Analysts expressed optimism - given her elaborate record as a diplomat - saying she would use her experience to help shape a practical Tanzanian foreign policy.

The University of Dar es Salaam’s Political Science lecturer Prof Bernadeta Kiliani, says Tanzanians have witnessed Ms Mulamula working in several foreign missions for a long time - and, hence, she knows her way in that area.

She pointed out that Tanzania’s foreign policy would now become clearer, more purposeful.

“Being nominated by the President to lead one of the key ministries is proof that the President herself believes in the capabilities of Ms Mulamula to actually bring about transformation in foreign policy,” Prof Kiliani said.

She further said that Tanzanians should give Ms Mulamula time to start showing how she would reshape Tanzania’s foreign policy.

For his part, Mr Paul Loisulie, a political analyst at the University of Dodoma, said Ms Mulamula must first address rumblings that have marked Tanzania’s foreign policy for quite some time.

“There are claims that Tanzania has not had good relations with a number of countries recently. For instance, never ending squabbles with Kenya and other countries. She must end that and ensure Tanzania sits at a dialogue table with all nations,” argued Mr Loisulie.

He further advised that Ambassador Mulamula should spearhead economic diplomacy so that Tanzania would benefit from its relations socially and economically.

“She has to restore Tanzania’s status as a respected member of the international community built over many years,” says Mr Loisulie.

For her part, Ms Lilian Liundi, the executive director of Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), said Ms Mulamula was well-known from the days she was leader of the steering committee of African Women Leadership Network (AWLN).

“She has a rich history in leadership and public service. She has the requisite skills and experience for the tasks ahead. So, we’re hopeful that she would deliver accordingly and bring about transformation in the foreign policy,” explained Ms Liundi.

She expressed her belief that the new leader at the Foreign docket would keenly negotiate Tanzania’s stands in talks with other foreign countries.

“It is important that Minister Mulamula pushes for win-win situation in all negotiations so that Tanzania would benefit accordingly,” Ms Liundi said.

Ms Mulamula is a graduate of St John’s University in New York where she acquired a Master’s degree in Government and Politics, as well as a Postgraduate Diploma in International Law.

She received her Bachelor’s degree in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.

Previously, Ms Mulamula was the permanent secretary in the ministry of Foreign Affairs and International Co-operation until 2016.

Prior to that position, she was Tanzania’s ambassador to the United States and Mexico. She also worked as a Special Advisor to President Jakaya Kikwete on diplomatic matters from 2012 to 2013.

Then she served as the first executive secretary of the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) - and, while in that position Ms Mulamula oversaw 11 countries from 2006 to 2011.

As she served in multiple diplomatic positions, she provided managerial and administrative leadership to the ministry’s staff and Tanzania Diplomatic Envoys abroad.

Having served for a while at the State House, she successfully coordinated the visits of President Xi Jiping of China and President Barack Obama to Tanzania in July 2013, as well as the visits of other heads of state and high officials.

She attended cabinet meetings, prepared policy briefs for the President, and aided the implementation of cabinet decisions in areas of international partnerships in order to achieve the country’s development goals.

During her tenure in Washington, Ms Mulamula participated actively in the preparations for the first US-Africa Summit on Partnership for Economic Growth.

She also oversaw the implementation of various programmes that were funded by US development agencies and institutions, including the Millennium Challenge Compact, the Power Africa Initiative, the Feed the Future Programme, the Scaling Up Nutrition Movement, the US President’s Emergency Plan for Aids Relief, the President’s Malaria Initiative, Maternal and Child Healthcare initiative.

Addressing the appointment and swearing-in of Ms Mulamula as the minister for Foreign Affairs, political analysts and a gender specialist have detailed the reasons why she was the right choice for the post - and what she has to do to straighten the ministry of Foreign Affairs accordingly.


Muhimu ni mtizamo wa Rais Samia kuhusu mahusiano ya kimataifa.

Maana unaweza kuwa mwanadiplomasia mazuri lakini unashindwa kufanya kazi kwasababu ya mtazamo wa boss wako.

Magu alimteua Augustine Mahiga kuwa kwenye foreign affairs, ni nguli na mzoefu sana wa hizo kazi lakini alipata tabu sana kutoka a na uropokaji wa Magu.
 
Muhimu ni mtizamo wa Rais Samia kuhusu mahusiano ya kimataifa.

Maana unaweza kuwa mwanadiplomasia mazuri lakini unashindwa kufanya kazi kwasababu ya mtazamo wa boss wako.

Magu alimteua Augustine Mahiga kuwa kwenye foreign affairs, ni nguli na mzoefu sana wa hizo kazi lakini alipata tabu sana kutoka a na uropokaji wa Magu.

Hii kweli maana kiongozi lazima awe mwenye kuskliza na kuzingatia ushauri, sema pia hotuba za huyo mama anatumia sana maneno kama "sisi", "serikali yetu"...na sio "mimi" "serikali yangu".....maana kwamba ametambua urais ni taasisi yenye timu ndani yake na sio mtu mmoja. Mtangulizi wake alikua anapenda sana hili la "mimi", nakumbuka kipindi fulani akisema "alikwenda kuchukua fomu yeye pekee yake, hivyo ni yeye tu basi".
 
Aisee vitasa mlivyompa huyu mbwigambwiga nadhani alipo anaugulia! Ndo watanzania tunapaswa kuwa proactive namna hii!
 
Hii kweli maana kiongozi lazima awe mwenye kuskliza na kuzingatia ushauri, sema pia hotuba za huyo mama anatumia sana maneno kama "sisi", "serikali yetu"...na sio "mimi" "serikali yangu".....maana kwamba ametambua urais ni taasisi yenye timu ndani yake na sio mtu mmoja. Mtangulizi wake alikua anapenda sana hili la "mimi", nakumbuka kipindi fulani akisema "alikwenda kuchukua fomu yeye pekee yake, hivyo ni yeye tu basi".
Kikweli COVID-19 has been a blessing in disguise. Yule mtu alikuwa ameshatuweza, kuandamana hatuwezi.

Kila mtu alikuwa ameshalala chali, ni kuishi kwa huruma yake tu. Angewezs kufanya chochote hata kufia ikulu na wala hakuna mtu angeweza kumfanya chochote.

Alikuwa na kiburi kikuu, katiba kwake ni takataka tu. Nemo lake ni final, hasikilizi mtu.
 
Sera za Tanzania za mambo ya nje ni zile zile hazibadilishwi na waziri. Msimamo wa Tanzania ni ule ule
  • Ujenzi wa uhuru, haki na usawa
  • Kulinda utaifa, mipaka utawala na uhuru wa kisiasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kusaidia mapambano dhidi ya ukoloni, ubaguzi wa rangi na ukoloni mamboleo
  • Kuwasaidia watu wanaonyanyaswa duniani kote
  • Kukuza umoja wa Afrika
  • Kusimamia sheria zinaheshimu kutokuingilia mambo ya ndani nchi nyingine
  • Kusaidia utekelezaji wa sera ya kutofungamana na upande wowote
  • Kuungana na Umoja wa Mataifa katika kutafuta amani na usalama wa kimataifa
  • Kuhimiza ujirani mwema

Hii ni nadharia nzuri, sasa utekelezwaji wake ndio mtihani na huhitaji uongozi bora uliotukuka na wenye kuskliza mashauri ya kitaalam na sio kuendesha kwa mikwara, uhafidhina, chuki, visasi, wivu n.k.
 
Hii ni nadharia nzuri, sasa utekelezwaji wake ndio mtihani na huhitaji uongozi bora uliotukuka na wenye kuskliza mashauri ya kitaalam na sio kuendesha kwa mikwara, uhafidhina, chuki, visasi, wivu n.k.
Jirani lockdown mnaachana nayo lini? Manake watoa maelekezo weshasema na wao wanaachana na lockdown… Pasaka njema kwetu sote..
 
Hii ni nadharia nzuri, sasa utekelezwaji wake ndio mtihani na huhitaji uongozi bora uliotukuka na wenye kuskliza mashauri ya kitaalam na sio kuendesha kwa mikwara, uhafidhina, chuki, visasi, wivu n.k.
Hiyo unayoiita mikwara, chuki, wivu nk
Ndio msimamo wetu. Tanzania ni nchi imara sera zake ndizo hizo.
Umeisoma hii:
  • Kusimamia sheria zinazoheshimu kutokuingilia mambo ya ndani nchi nyingine
 
Hiyo unayoiita mikwara, chuki, wivu nk
Ndio msimamo wetu. Tanzania ni nchi imara sera zake ndizo hizo.
Umeisoma hii:
  • Kusimamia sheria zinazoheshimu kutokuingilia mambo ya ndani nchi nyingine

Hizi nadharia kila nchi inazo zimetundikwa ukutani, ila sasa uhalsia unategemea na kiongozi wa awamu husika akija mwenye kutoskliza ushauri wowote, anazivunja na kuzikiuka kwa kwenda mbele ikiwemo hata kukanyaga katiba kwenye masuala ya ndani ya nchi.
 
binafs, nimetokea kumkubali sana mama. kwa hakika mama ni mpole, mkarimu na anashirikisha ubongo zaidi kuliko kutumia kifua. nina imani mama atatufikisha mbali sana na kutuletea heshma katika taifa letu. taifa hili lilikuwa linaelekea kuzama lakini tangu mama ashike usukani, nimeanza kuona mwangaza.
aisee after all, nani kama mama?
Mapema kaka,tulia Kwanza!
 
Wataalam wanakaa wizarani mteule waziri ni kuongoza tu.sijaona tatizo ils labda mseme baraza limeongezeka ?
 
Back
Top Bottom