Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Sasa hivi kumekuwa na matangazo mengi kwa taasisi tofautitofauti kutangaza nafasi za kuhamia (Transfer vacancy) ambapo taasisi zinawataka watumishi wa umma wenye kupenda kufanya kazi hizo kutuma maombi ya kuhamia.
Hapa inaonesha dhahiri kuwa mfumo wa kiutumishi uliowekwa(ESS) haufanyi lolote.
Nimeona matangazo kutoka taasisi mbalimbali, miongoni mwa hizo ni:
1. TOSCI
2. BOT
Hapa inaonesha dhahiri kuwa mfumo wa kiutumishi uliowekwa(ESS) haufanyi lolote.
Nimeona matangazo kutoka taasisi mbalimbali, miongoni mwa hizo ni:
1. TOSCI
2. BOT