Kwa jicho la tatu Kuzimu iko/ndiyo Tanzania. Maana maovu yanapendwa kuliko mema

Kwa jicho la tatu Kuzimu iko/ndiyo Tanzania. Maana maovu yanapendwa kuliko mema

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii.

1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza
2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka tozo aende Burundi. Nchi za watu pangechimbika.
3. Covid-19 wapo bungeni kinyume kabisa na matakwa ya katiba. Tunakenua tu tukidhani tunawakomoa chadema.
4. Wasanii wanaimba mitusi hadharani, matangazo ya biashara yanabeba maudhui ya mitusi,, n.k tupo tu tunawashabikia.
5. Aliibuka jamaa mmoja (alijiita Liquid) akawa ana-promote ulevu na kufanya vituko vya kilevi akapewa mpk bendera ya taifa eti akawa kwenye kamati ya ushindi wa Taifa Stars kuelekea AFCON. Vitu vya hatari sana hivi.

Baadhi ya mema yaliyowahi kupingwa hadharani na watu wa Kuzimu (watanzania)
1. Ndugai alionya juu ya tabia ya kuendelea kukopa mikopo toka nje kiholela. Akakoromewa kama vile kafanya uhaini. Hadi sasa awamu ya 6 imekopa karibia trilion 8.

2. Babu Tale alllalamika bungeni kuwa wimbo kama "Mama Amina" unaifundisha nn jamii? Kwann mamlaka husika hazichukui hatu? Looh! Watu wa Kuzimu (watanzania) wakamjia juu Babu Tale.

Naomba kama unayo ya kuongezea uongezee.

KARIBUNI TULIPONYE TAIFA
 
Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii.

1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza
2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka tozo aende Burundi. Nchi za watu pangechimbika.
3. Covid-19 wapo bungeni kinyume kabisa na matakwa ya katiba. Tunakenua tu tukidhani tunawakomoa chadema.
4. Wasanii wanaimba mitusi hadharani, matangazo ya biashara yanabeba maudhui ya mitusi,, n.k tupo tu tunawashabikia.
5. Aliibuka jamaa mmoja (alijiita Liquid) akawa ana-promote ulevu na kufanya vituko vya kilevi akapewa mpk bendera ya taifa eti akawa kwenye kamati ya ushindi wa Taifa Stars kuelekea AFCON. Vitu vya hatari sana hivi.

Baadhi ya mema yaliyowahi kupingwa hadharani na watu wa Kuzimu (watanzania)
1. Ndugai alionya juu ya tabia ya kuendelea kukopa mikopo toka nje kiholela. Akakoromewa kama vile kafanya uhaini. Hadi sasa awamu ya 6 imekopa karibia trilion 8.

2. Babu Tale alllalamika bungeni kuwa wimbo kama "Mama Amina" unaifundisha nn jamii? Kwann mamlaka husika hazichukui hatu? Looh! Watu wa Kuzimu (watanzania) wakamjia juu Babu Tale.

Naomba kama unayo ya kuongezea uongezee.

KARIBUNI TULIPONYE TAIFA
BADILI heading, ondoa " JICHO la TATU" na "Kuzimu" utaeleweka kirahsi. Ameeen
 
Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii.

1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza
2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka tozo aende Burundi. Nchi za watu pangechimbika.
3. Covid-19 wapo bungeni kinyume kabisa na matakwa ya katiba. Tunakenua tu tukidhani tunawakomoa chadema.
4. Wasanii wanaimba mitusi hadharani, matangazo ya biashara yanabeba maudhui ya mitusi,, n.k tupo tu tunawashabikia.
5. Aliibuka jamaa mmoja (alijiita Liquid) akawa ana-promote ulevu na kufanya vituko vya kilevi akapewa mpk bendera ya taifa eti akawa kwenye kamati ya ushindi wa Taifa Stars kuelekea AFCON. Vitu vya hatari sana hivi.

Baadhi ya mema yaliyowahi kupingwa hadharani na watu wa Kuzimu (watanzania)
1. Ndugai alionya juu ya tabia ya kuendelea kukopa mikopo toka nje kiholela. Akakoromewa kama vile kafanya uhaini. Hadi sasa awamu ya 6 imekopa karibia trilion 8.

2. Babu Tale alllalamika bungeni kuwa wimbo kama "Mama Amina" unaifundisha nn jamii? Kwann mamlaka husika hazichukui hatu? Looh! Watu wa Kuzimu (watanzania) wakamjia juu Babu Tale.

Naomba kama unayo ya kuongezea uongezee.

KARIBUNI TULIPONYE TAIFA
Shotii usimtaje kwani alikuwa na here na huenda Bado anamwonea mtu here🤔
 
Wasio na dini wakomenti vipi kwenye uzi wako?
 
Mfuasi wa uwovu huwezi kukubaliana na hoja zenye kupinga maovu
Tanzania ni ALAMA ya Mungu duniani usifananishe na KUZIMU.

Pia JICHO la TATU ni la SHETANI, ni la UCHAWI, ni JICHO la Mpinga Kristo au MASIH JADAL.

Unaweza ona umetimia maneno usojua maana yake.

Fanya EDITIN, usijitie ujuaji mwingi''.
 
Chama Cha Mashetani kipo kazini
Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii.

1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza
2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka tozo aende Burundi. Nchi za watu pangechimbika.
3. Covid-19 wapo bungeni kinyume kabisa na matakwa ya katiba. Tunakenua tu tukidhani tunawakomoa chadema.
4. Wasanii wanaimba mitusi hadharani, matangazo ya biashara yanabeba maudhui ya mitusi,, n.k tupo tu tunawashabikia.
5. Aliibuka jamaa mmoja (alijiita Liquid) akawa ana-promote ulevu na kufanya vituko vya kilevi akapewa mpk bendera ya taifa eti akawa kwenye kamati ya ushindi wa Taifa Stars kuelekea AFCON. Vitu vya hatari sana hivi.

Baadhi ya mema yaliyowahi kupingwa hadharani na watu wa Kuzimu (watanzania)
1. Ndugai alionya juu ya tabia ya kuendelea kukopa mikopo toka nje kiholela. Akakoromewa kama vile kafanya uhaini. Hadi sasa awamu ya 6 imekopa karibia trilion 8.

2. Babu Tale alllalamika bungeni kuwa wimbo kama "Mama Amina" unaifundisha nn jamii? Kwann mamlaka husika hazichukui hatu? Looh! Watu wa Kuzimu (watanzania) wakamjia juu Babu Tale.

Naomba kama unayo ya kuongezea uongezee.

KARIBUNI TULIPONYE TAIFA
 
Mkuu

Ungeandika hivi;-

Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!

Ungeeleweka Sana!
Hapana. Katiba mpya iliyo bora haipatikani kwa kuandika na kuimba ngonjera mitandaoni na majukwaani.

Ili kuipata yafaa wananchi kuamka na kuanza kudai haki zao. Na serikali au watawala wakikataa TUCHAPANE.

Vinginevyo tutaandikiwa "katiba kituko"
 
Kujua sana unaelekea kuwa......., Uwe tayari kupokea ushauri, usiwe mjuaj kwenye Kila kitu.
Ushauri nimeupokea ndiyo maana naomba source ili nijiridhishe mkuu. Kwani ugomvi?
 
Kwani kuzimu kupoje?
Ulishaendaga Boss , nasikia kuna kipupwe kile cha bahari ya hindi na pia kuna kaubaridi ka Kilimanjaro
 
Back
Top Bottom