Kwa jinsi 'Bwana fulani' alivyonuna Nchimbi kukosa Umakamu wa Rais, yawezekana madai ya Musiba yalikuwa na msingi

Kwa jinsi 'Bwana fulani' alivyonuna Nchimbi kukosa Umakamu wa Rais, yawezekana madai ya Musiba yalikuwa na msingi

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kuna kipindi kuelekea mwishoni mwa muhula wa 2015-2020 wa JPM, mambo yalikua very 🔥, ni wazi kabisa kulikua na kundi la vigogo kwenye chama na ndani ya mifumo ya dola walikua wanamhujumu hayati.

Katika kutapatapa na kujaribu kum 'flush' nyoka atoke pangoni ili apondwe kichwa, team ya hayati ilikua inamtumia Musiba kuwalipua waliohisiwa kuwa wabaya wa hayati (wasaliti).

Katika wengi waliotuhumiwa, kuna siku Musiba alisema ile akaunti ya twitter ya 'bwana fulani' inaendeshwa na mtandao wa watu fulani wazito wanye malengo ya dhati ya kumwondoa hayati, akawataja akina Nchimbi, Maria Sarungi , Zitto na wengineo.

Inawezekana lilikua ni jiwe la gizani tu kujaribu kupata 'reaction', lakini pia inawezekana Musiba alipewa 'credible intel' ni vile tu ......

Sasa, hii leo baada ya mama yetu mpendwa SSH kumpendekeza makamu wake, 'bwana fulani' amefura kweli huko twitter. Alitegemea kabisa kuwa Nchimbi ndio angeteuliwa lakini kinyume chake imekuwa Dr. Mpango. Hasira hizi za 'bwana yule' a.k.a 'mganga njaa' zimenifanya niwaze sana na nimkumbuke Musiba.

Anyway, kila la kheri Mheshimiwa SSH, ni jambo la muda tu mashambulizi yataanza kuelekezwa kwako. Nakuombea usichanganyikiwe kama hayati na kuanza kupiga nyundo kila anayenyanyua shingo.
 
Wewe unafuata mkumbo tu.mabilioni yamechotwa badala ya kuhoji unaleta habari za Musiba,sijui akina Nchimbi na wengineo.Kwa taarifa yako Nchimbi yupo Brazil kama Balozi wetu.Kule kuna lockdown ya corona hivyo yupo huko.Jamani muandike vitu vinavyoeleweka.Mjadala wa VP ushafungwa.Tunachoomba ili kuwadhibiti hao wanaojiita Vigogo ni Serikali ya Sasa kuachia uhuru wa vyombo vya habari,kuwaruhusu wapinzani kunadi sera zao bila bugudha,Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi,kuwe na demokrasia ya kweli,kukubali kukoselewa(constructive criticism)n.k
 
Wewe unafuata mkumbo tu.mabilioni yamechotwa badala ya kuhoji unaleta habari za Musiba,sijui akina Nchimbi na wengineo.Kwa taarifa yako Nchimbi yupo Brazil kama Balozi wetu.Kule kuna lockdown ya corona hivyo yupo huko.Jamani muandike vitu vinavyoeleweka.Mjadala wa VP ushafungwa.Tunachoomba ili kuwadhibiti hao wanaojiita Vigogo ni Serikali ya Sasa kuachia uhuru wa vyombo vya habari,kuwaruhusu wapinzani kunadi sera zao bila bugudha,Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi,kuwe na demokrasia ya kweli,kukubali kukoselewa(constructive criticism)n.k

NCHIMBI YUKO BRAZIL TOKA LINI? ALIKUWEPO KWENYE VIUNGA VYA DAR, PENGINE AWE AMEONDOKA BAADA YA JINA LAKE KUTUPWA KWENYE DUST BIN!! MKWERE ALIJIFANYA YEYE NDIO MWENYE CCM KUMBE CCM YA LEO HAIJUI!!!
HATA AKIZIRA KUHUDHULIA MIKUTANO MIKUU INAYOANDALIWA, YOU SHOULD REST BE ASSURED HE WILL NOT BE MISSED AND EVERYTHING WILL GO ON AS PLANNED.
 
[emoji4]
FB_IMG_16171234973679536.jpg
 
Nchi hii ilivyokuwa imesheheni madawa ya kulevya wakati Nchimbi waziri wa mambo ya ndani bado tu kuna watu wanamfikiria huyo fisadi.

Hivi tumeshajiuliza JK alivyomtumbua uwaziri kwanini alinywea?

Siku Nchimbi akiukwaa uongozi ndani ya Tanzania tena ndio siku JK atavaa boxer na gloves kurudi kwenye siasa rasmi kuikomboa CCM chini ya hao wadhalimu.

Hakuna mtu wa ovyo kwenye siasa kama Nchimbi.
 
Siku Nchimbi akiukwaa uongozi ndani ya Tanzania tena ndio siku JK atavaa boxer na gloves kurudi kwenye siasa rasmi kuikomboa CCM chini ya hao wadhalimu.

Hakuna mtu wa ovyo kwenye siasa kama Nchimbi.

Sasa kama Nchimbi ni mtu wa hivyo kwenye siasa na ndio amelelwa na JK, unafikiri mentor wake atakuwa tofauti na yeye?
 
Wewe unafuata mkumbo tu.mabilioni yamechotwa badala ya kuhoji unaleta habari za Musiba,sijui akina Nchimbi na wengineo.Kwa taarifa yako Nchimbi yupo Brazil kama Balozi wetu.Kule kuna lockdown ya corona hivyo yupo huko.Jamani muandike vitu vinavyoeleweka.Mjadala wa VP ushafungwa.Tunachoomba ili kuwadhibiti hao wanaojiita Vigogo ni Serikali ya Sasa kuachia uhuru wa vyombo vya habari,kuwaruhusu wapinzani kunadi sera zao bila bugudha,Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi,kuwe na demokrasia ya kweli,kukubali kukoselewa(constructive criticism)n.k
Hujui kitu kaa kimya!
 
Nampongeza sana Mama SSH kwa Usiri Mkubwa wa jina la Dkt Mpango. Halikuweza kuvuja na hii inadhihirisha Umakini wa Mama ni Mkubwa maana vibaraka wa Mabeberu Ambao walishataka kumpenyeza MTU wao imeshindikana 😹😹
 
Back
Top Bottom