Kwa jinsi 'Bwana fulani' alivyonuna Nchimbi kukosa Umakamu wa Rais, yawezekana madai ya Musiba yalikuwa na msingi

Dah! Kwahiyo Jana hakuwepo kikaoni?
Nalog off
 
Kwa kweli Bwana Fulani amepata makasiriko sio ya dunia hii. Inashangaza kidogo, cheo cha VP hakina madhara makubwa mpaka pale Rais anapopata shida. Sijui kwanini watu wamekwa wakali kiasi hiki. Kama mtu ni mbovu, ni bora kawekwa huko VPO kuliko kuwa MoF. Yaani mtu hata kuapishwa bado, watu wametoka povu lote.
 
Pengine na Mama walitaka atangulie, makamu wao awe Rais
 
Halfu umakamu ni position ambayo unaweza kumutiwa kirahisi sana.
Mkuu akiamua kupuuzia ushauri wako utamfanyaje.
Unabaki unakula na kunenepa bila kazi.
 
Nimekukubali
 
Kukosea imo lkn tukiweka mzani tupime he is not human been, ukitaka kusadiki waulize makamanda wa tz wanavyotabishwa na kivuli chake
 
Eeeh naona nyoka mmetoka kwenye mapango yenu....

Haki nilijua umeaga dunia kumbe vumbi la Magu lilikutupilia mbali...

Naona umerudi rasmi kumtetea ukhty mwenzio.
Kifo ni haki ya kila mtu.
 
Hapa Mh SSH kaona, maana Nchimbi ni Fisadi NO 2 baada ya mamvi. Hapa kacheza pele. Nch imbi angemsumbua sana Mh SSH
 
Hapa mwishoni umemalizia vibaya ndugu. At the moment Nobody is ready for that
 
Hivi unadhani serikali haitambui walo nyuma ya Kigogo2014?

Usishangae raisi wa sasa akipata ushirikiano wa karibu.
Hahaha...ukisha kula nyama ya binadamu kamwe huwezi kuacha!
Wameanza kuchimba familia ya mama, wameanza kulinganisha cv yake na mzee Ruksa....wanaendelea hatujuhi kipo kitafuata...hawa ni wa kuangamiza maana njaa ya vyeo na pesa imewazidia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…