kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Katika Siku za Karibuni zimeonekana 'Klipu' kadhaa Za Mchungaji anayejiita Kiboko ya wachawi mitandaoni zikimuonyesha akiwadhihaki na kuwadhalilisha Waamini waliokuwa wakitoa pesa zao kwake kwa madhumuni ya kuombewa. Ameonekana akisema 'amezimiss' Laki tano tano.
Ingawa wapo watakaosema kuwa wahanga walijitakia wenyewe, lakini tukumbuke wahanga hao ni watu waliokuwa na matatizo walienda kule wakiwa na matumaini ya kupata msaada (yaani watu desperate), badala yake wamekutana na madhira hayo.
Pia, soma: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio
Watu wengi huwa wanapoteza pesa zao, Lakini kitendo cha mtu kuanza kurusha klipu mara yupo supermarket anatanua na pesa za wahanga, mara anasema anamiss laki tano tano za waTZ, mara akejeli kwamba mtu asimkabili yeye kwanza akajenge nyumba ya baba yake na kejeli lukuki sio poa kabisa.
Kulifungia hilo kanisa ilikuwa ni hatua ambayo ilikuwa haiepukiki, lakini ipo haja ya Wenye Mamlaka ya Usajili wa Taasisi na Makanisa kuongeza umakini katika hilo, la sivyo matapeli wataendelea kutumia mlango huo.
Ingawa wapo watakaosema kuwa wahanga walijitakia wenyewe, lakini tukumbuke wahanga hao ni watu waliokuwa na matatizo walienda kule wakiwa na matumaini ya kupata msaada (yaani watu desperate), badala yake wamekutana na madhira hayo.
Pia, soma: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio
Watu wengi huwa wanapoteza pesa zao, Lakini kitendo cha mtu kuanza kurusha klipu mara yupo supermarket anatanua na pesa za wahanga, mara anasema anamiss laki tano tano za waTZ, mara akejeli kwamba mtu asimkabili yeye kwanza akajenge nyumba ya baba yake na kejeli lukuki sio poa kabisa.
Kulifungia hilo kanisa ilikuwa ni hatua ambayo ilikuwa haiepukiki, lakini ipo haja ya Wenye Mamlaka ya Usajili wa Taasisi na Makanisa kuongeza umakini katika hilo, la sivyo matapeli wataendelea kutumia mlango huo.