Ni Imani yangu Deus Soka na wenzake kadhaa waliotekwa katika Mazingira yanayofanana kabisa na Ule utekwaji wa Wana wa Israel watapatikana wakiwa Hai
Hadi sasa Hamas imeshawaachilia Wana wa Israel 7 wakiwa katika Afya njema kabisa
Tuendelee kuweka Imani Kwa Mungu wetu wa Mbinguni
Nawatakia Dominica NJEMA 🌹