Kwa jinsi RC Makonda anavyotukanwa sasa na Wakenya huko Mitandaoni Kwao nashauri Siasa isiingizwe Michezoni

Tungeshinda, yule bwana aliyetumwa "kuhakikisha tunashinda" nadhani angerudi na kudai apewe uwaziri kabisa. Fair result. Lets go back to the drawing board
 
Binafsi naona kama Taifa tumepiga sana hatua, ni jambo ambalo lisingekuwa rahisi kuanza kujadili ushindi katika mashindano ya AFCON ila kwa sasa tunafanya. Tutafika tu.
 
Makonda amewashinda maana wabunge wetu walipokuwa kule misri timu ilipigwa mbili kavu. Lakini leo tunasema tumeona jitihada za kuwatia moyo vijana wamejitahid mbili kwa tatu siyo mbaya.

Subiri mchezo ujao watawashangaza kwa kushindwa game la Algeria moja bila.Lkn watashinda wakiacha mchezo wao wa defence game hausaidii washambulie mwanzo mwisho watashinda
 
Ccm walishazoea kufunga gori la mkono, walidhani misiri wataweza, piga hao nyau

Bado algeria inakuja kumaliza hao nyau wa ccm
 
......... furahini kiasi tu maana hajafungwa Makonda peke yake hata Tz pia imefungwa.
Kwenye hili wala hata mimi binafsi sipo na wewe; bora TUMEFUNGWA na Kenya. We unakwenda kuzungumza habari za sisiemu kwa taifa stars ili iweje? Hujui kuna wengine hatuna vyama, kuna wengine wana amini katika upinzani na wengine wanaamini katika ccm, mbaya Zaidi taifa stars ni team ya Tanzania, then what to do with mkuu wa mkoa wa Dar? Binafsi naombea hata Algeria watufunge walau goli 5 hivi. Misimamo yetu ya kisiasa ilipo humu jukwaan, hata wachezaji na wenyewe wanayo vile vile so tusichukuliane POUWA.
 
Kwa maelezo yako tatizo ni Makonda! Ila Tz ni zaidi ya Makonda kumbuka hilo na waliofungwa jana ni timu ya taifa ya Tz sio ya Makonda usiruhusu chuki zikutie upofu.
 
Kwa maelezo yako tatizo ni Makonda! Ila Tz ni zaidi ya Makonda kumbuka hilo na waliofungwa jana ni timu ya taifa ya Tz sio ya Makonda usiruhusu chuki zikutie upofu.
Kaka, sitabadiri msimamo hadi huyo anayetaka kupata SIFA za kijinga aache na pia huyo anae ingilia taaluma za watu aache, huyo ambaye alikua anataka kuupindisha SIFA azipeleke kwingine pia aahce, huyo ambaye ana kejeri watu na taasisi aache; mshauri huyo kwanza kuachana na hayo mambo na mimi nitbadir msimamo. Hivi kama angeendeleza Utanzania wetu badala ya usisiem angepungukiwa na nini?
 

Ukishamaliza Kuota utatuambia tafadhali.
 
So sad
Hata kiswahili South Africa wamechukua walimu toka Kenya maajabu kabisa haya... nchi yenye sera zisizo rafiki na watu wake... sera dumazi na zisizojali ustawi wa watu...
Tunafeli na hawajui kwanini tunafeli!!!
 
Wazee. Hata walibya walidhani tatizo lao kubwa ni Muhamar Gadaffy.

hata ugali ulipo kosekana mezani. Baba na mama waliwambia watoto wao ni kwasababu ya Gadaffy.

balbu ilipo ungua na gari kuishiwa mafuna na kuishiwa vocha kwenye simu, walisema ni kwa sababu ya gadaffy.

haya leo hawa mkumbuki? Ndugu zangu tatizo nchi hii sio chama cha mapinduzi wala ndugu makonda.

Tuweke chukizetu pembeni twende na fact watanzania walio wengi niwa vivu wa kufikiri, wavivu katika kufanya kazi. Mwisho wa siku wana inangushia lawama serikali na kujenga chuki na watu.

huwezi mkuta mtu mpambanaji anaangaika kutafuta maisha kwa kuchapa kazi na matokeo yana onekana anaitukana serikali na kujenga chuki na watu.

tubadilike jamani kujenga chuki kwa watu na serikali hakuta kusaidia wala kubadilisha maisha yako.

mwisho wa siku watoto wako watakulaum kwa kuwa mzembe na kuangushia lawama watu wengine utadhani walikushikia akili zako na mikono yako usiweze kujituma ukafanikiwa utakua maskini wakutupwa.

huku ccm ikiendelea kuwepotu.
 
Hujui ulisemalo na hujui maana na mienendo ya soka.
Ndio unieleweshe sasa wewe unajua mienendo ya soka. Ila swali langu lipo pale pale kwamba je wakati Rais Mwinyi anasema timu yetu ni kichwa cha mwendawazimu, siasa ilikuwa tayari imeingizwa kwenye soka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…