Kwa jinsi RC Makonda anavyotukanwa sasa na Wakenya huko Mitandaoni Kwao nashauri Siasa isiingizwe Michezoni

Wahadzabe hawafananishwi na wagogo... mhadzabe akianza tabia za kigogo inatia mashaka sana...
Jiongeze si kila kitu utafuniwe...
Ni upuuzi wa kiwango cha unayemuhusudu maishani mwako, kujenga hoja kwa kunasibishwa na kabila la mtu, hasa hoja za kimantiki!
 
Tatizo la serikali ya awamu hii ni kuingiza siasa za ki-CCM kila mahali wakidhani ni sifa kumbe ni ujinga tu. Expertism is replaced with stupid politics!
 
Ndio mkuu
Umetumia microscope gani kung'amua hilo mkuu maana huo utaalamu natamani ningekua nao ili niwe nawatambua watu flani wenye "vitambulisho" zaidi ya kimoja?
 
Mtiririko wa uandishi wake utauelewa ingawa anajitahid kutofautisha
Na hata id na avatar vinajieleza huwa anapenda sana kutumia hivyo vitu
Umetumia microscope gani kung'amua hilo mkuu maana huo utaalamu natamani ningekua nao ili niwe nawatambua watu flani wenye "vitambulisho" zaidi ya kimoja?
 
Si na wakenya tu,hata wabongo wenziye katuudhi sana.Mtu mwenyewe "yupo yupo" tu na misifa yake unategemea timu ifanikiwe???!!!! Eti "mungu" wa dar es salaam! Haya sasa na uungu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…