Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Na pia wanajua ki-Malkia vizuri sana
Broken yao iko kwenye KiswahiliKweli asee watoto wanajuwa lugha ya malkia hawapiga broken kama wa kibongo
Broken yao iko kwenye Kiswahili
Huku nilipo kusikojulikana,kuna dem wa kikenya nishampataga sbb ya kiswahiliBroken yao iko kwenye Kiswahili
Huko kwao Diamond na Alikiba wanauzika kuliko bongoHuku nilipo kusikojulikana,kuna dem wa kikenya nishampataga sbb ya kiswahili
“napendaga sana swahili ya ki TZ” ,hapo hapo sikulaza damu
Ahsante kwa research mkuu
Rwanda hii hapa.
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f8641f57a3f9f959c50c56b18d9421cb.jpg[
/IMG]