GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
We genta nae sometimes unakuwa kama saa mbovu
Huyu nia yake ni kumponda KagutaMi siku izi ata sijawahi kumuelewa.labda ana matatizo ya kisaikolojia
Salim Saleh na museveni naona kama salim bonge la tajiri
Kama museveni hajawahi iba nilaaniwe Milele
yeye anaona kama kachukua tu sio kaiba, ila sisi tujuavyo kaiba acha ajidanganye mwenyewe tu na wewe ungana nae katika hiloHe said:
I have never stolen and I am rich - Ugandan President Yoweri Museveni
Yaani akimaanisha ya kwamba:
Hajawahi kuiba tokea awe madarakani, wala kuwaibia chochote kile Waganda lakini yeye ni bonge la tajiri.
Je, Waswahili (ukimuondoa GENTAMYCINE tu) mnaomsakama Museveni 24 / 7 mnakubaliana naye au mnamkatalia?
Chanzo Habari: The Citizen