GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Kwa Madaraka makubwa aliyonayo Rais kutokana na Katiba iliyopo akiwa ni Rais mzuri haina shida, ila akiwa ni Rais Katili au Chizi anaweza kuipeleka nchi kubaya sana "
Chanzo: BBC Dira ya Dunia Leo hii.
Haya mnaoshupalia Katiba mpya na kutupigia Kelele zenu za 'Nongwa' kila Siku Mh. Mbowe hana shida nayo sana ila mkazo wake mkubwa tu ni Rais wa Tanzania asiwe ni Katili na mwenye Uchizi (Uwendawazimu).
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nahitimisha kwa kuwaomba kuanzia sasa tuachaneni na kudai Katiba Mpya na tujikite hasa katika Kumuomba Mwenyezi Mungu awe anatupa Marais wazuri, wema, wachapakazi na wasio Makatili na Wendawazimu kama Hayati Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa, Mzee Kikwete, Hayati Dkt. Magufuli na Mama yetu Rais Samia.
Asante sana Mheshimiwa Freema Alkaeli Mbowe kwa Kulihitimisha hili vyema kabisa na ni Matumaini yangu sasa Makelele ya Kudai Katiba mpya nchini Tanzania yatapungua kama si Kuisha kabisa ili Watanzania tuendelee Kuchapa kazi ya Kujenga nchi yetu kwa Katiba yetu hii hi ya mwaka 1977 ambayo kwa bahati nzuri haijawahi kutuletea Tanzania Marais Makatili na Machizi (Wendawazimu) tokea Historia ya Uhuru wa Taifa hili.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia Leo hii.
Haya mnaoshupalia Katiba mpya na kutupigia Kelele zenu za 'Nongwa' kila Siku Mh. Mbowe hana shida nayo sana ila mkazo wake mkubwa tu ni Rais wa Tanzania asiwe ni Katili na mwenye Uchizi (Uwendawazimu).
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nahitimisha kwa kuwaomba kuanzia sasa tuachaneni na kudai Katiba Mpya na tujikite hasa katika Kumuomba Mwenyezi Mungu awe anatupa Marais wazuri, wema, wachapakazi na wasio Makatili na Wendawazimu kama Hayati Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa, Mzee Kikwete, Hayati Dkt. Magufuli na Mama yetu Rais Samia.
Asante sana Mheshimiwa Freema Alkaeli Mbowe kwa Kulihitimisha hili vyema kabisa na ni Matumaini yangu sasa Makelele ya Kudai Katiba mpya nchini Tanzania yatapungua kama si Kuisha kabisa ili Watanzania tuendelee Kuchapa kazi ya Kujenga nchi yetu kwa Katiba yetu hii hi ya mwaka 1977 ambayo kwa bahati nzuri haijawahi kutuletea Tanzania Marais Makatili na Machizi (Wendawazimu) tokea Historia ya Uhuru wa Taifa hili.